Mkuu kwani wewe ulitaka kusikiaje ili uridhike? Katika mihangaiko ya maisha kuna hali tatu tu;Ni kweli kabisa mkuu. Aliyeleta stori kaongeza chumvi sana. Habari kama ingekuwa hivyo tungeiona magazetini front page.
Mtungi ukifika unauweka chini kwa dakika kadhaa hata nusu saa utulie ndio unautumia.Huku kwetu wanapewa boda boda vichaa wanakimbia nayo hovyo tu ,, mitungi inatikiswa hata siwezi kuelezea hapa
Kuna maafa yalitokea kijana aliingia choo cha shimo akiwa na taa ya chemli akaona Mende wengi akachukua spray Ili awue wadudu alizalisha bomu hatari lililofumua choo na yeye
Umenifungua pakubwa sana. Ahsante bro.Tuwe makini na wapi tunanunua accessories za gesi kama ule mrija, regulator na jiko lenyewe. Vifaa hivi vingi huwa vinakuwa feki hivyo huchangia sana kuhatarisha usalama.
Mimi nilishanunua regulator ya 15,000 ya mtungu mkubwa kuja kuiweka nikatumia kama wiki hivi ikaanza kutema. Nikawa nikitoka home naifunga pale kwenye lock nikirudi ndio naifungua. So ilikuwa rahisi kudetect kuwa inaleak gesi.
Nikaitoa nikamrudishia muuzaji anibadilishie akanipa nyingine ya 25,000 kidogo ikawa imedumu.
hii ni kweli kabisaTuwe makini na wapi tunanunua accessories za gesi kama ule mrija, regulator na jiko lenyewe. Vifaa hivi vingi huwa vinakuwa feki hivyo huchangia sana kuhatarisha usalama.
Mimi nilishanunua regulator ya 15,000 ya mtungu mkubwa kuja kuiweka nikatumia kama wiki hivi ikaanza kutema. Nikawa nikitoka home naifunga pale kwenye lock nikirudi ndio naifungua. So ilikuwa rahisi kudetect kuwa inaleak gesi.
Nikaitoa nikamrudishia muuzaji anibadilishie akanipa nyingine ya 25,000 kidogo ikawa imedumu.
Una uhakika gani Kama shida ilikuwa kwenye regulator na sio kwenye maungio ya pipe na regulator au pipe na valve?Tuwe makini na wapi tunanunua accessories za gesi kama ule mrija, regulator na jiko lenyewe. Vifaa hivi vingi huwa vinakuwa feki hivyo huchangia sana kuhatarisha usalama.
Mimi nilishanunua regulator ya 15,000 ya mtungu mkubwa kuja kuiweka nikatumia kama wiki hivi ikaanza kutema. Nikawa nikitoka home naifunga pale kwenye lock nikirudi ndio naifungua. So ilikuwa rahisi kudetect kuwa inaleak gesi.
Nikaitoa nikamrudishia muuzaji anibadilishie akanipa nyingine ya 25,000 kidogo ikawa imedumu.
Kwa nchi yetu ipo siku utashinda njaa utalala njaa.Mimi nimeshasema nitatumia jiko la umeme TU.
Bora umenisaidia mkuuHii habari naona azam tv ndio wameipata leo ..
Washa moto njeKuna uhusiano gani kati ya perfume au dawa ya mbu na gesi?
Sawa....ila tatizo ni cylinder ikavuja gesi!Siku hizi kuna majiko ya plate 2 yana kiberiti automatic,unakibonyezea kwa ndani kidude cha kupunguza na kuongeza moto kisha unazungusha kulia,jiko linawaka,mfano yapo aina ya NIKAI
Aisee!Washa moto nje
Pulizia dawa,ya mbuu
Utaona majibu
Ova
Mimi ninavyosikia GESI YA SIKU HIZI HAILIPUKI HATA IKIVUJA! Niueni![emoji24][emoji24][emoji24] Aisee,
Nyie! Sijui nimshuhudie vipi Mungu, nilinunua gesi tarehe 6 Mwezi Mei,lakini mpaka tarehe 25 ikawa imeisha, ilikuwaje?
Ni hivi, haikuwahi kutokea hali hii kwa sababu gesi huwa nakaa nayo miezi miwili na nusu mpaka mitatu, ati siku zote kati ya tarehe 6 - 25 Mei nasikia harufu mbaya ndani, siku zote nafanya usafi, nikadhani ni harufu ya panya, nikahisi ni maji yamekwama muda mrefu, aisee kumbe gesi inavuja [emoji24][emoji24][emoji24] na siku zote nawasha moto, ila mpaka nakuja kugundua...dah!!
Nimesoma hii taarifa, nimeumia sana,