Jiko la gesi lilivyozima ndoto na uhai wa Familia ya Abedi Falhum Msangi

Una kiherehere sana....unashindwa kuanzisha Uzi wako ucomment mitazamo yako kadri unavyoweza hadi uvamie nyuzi za watu? Ubishi peleka CHADEMA
Huyu ni mmoja ya wale wenye matusi sana kwenye uzi flani.. mumzoee[emoji3]
 
Poleni sana kwa msiba mzito. Mungu azidi kumjaalia afya mtoto aliyebaki. Kwa kweli hii mitungi ya gesi ni ya kuwa nayo makini.
Binafsi nilishagoma kutumia mitungi mikubwa, ikinilazimu kutumia mtungi mkubwa basi uwe kwenye jiko la nje.
Haya majiko ya plate siyaamini na siyataki kabisa.
Naunga mkono kauli ya Abeid kama unatumia jiko la ndani basi mtungi uwe nje ya nyumba mpira ndio uingie ndani.
 
Daah! poleni sana aisee mkewe alikuwa Classmate wangu Chuo kikuu Cha Mwenge Moshi wapumzike kwa amani
 
Hivi gas huwa unaweza ku- expire?
 
Tatizo sio gas bali jamii yetu inatatizo lakutochukua tahadhari.Uzembe ni mwingi sana kwenye maisha yetu.Jamii inapaswa kuelimishwa sana matumizi ya vitu mbali mbali vinavyoweza kuleta maafa.Kuanzia umeme,gas,petrol,vyombo vya moto,barabara,maji na vitu vingine tunavyovitimia kila siku. Wapumzike kwa amani.
 
Yaan mtu yuko ktkt ya moto aingie ndani atoe mke aingie tena atoe mtt aingie tena amtoe mfanyakazi aingie tena atoe mtungi wa ges na kuutupa nje af atoke nje af walale nje kusubiri pakuche duh sio filamu hii kweli!?
 
Akili za mwafrica zimejaa makamasi!

Badala uchukue tahadhari unaleta mambo ya Allah na yesu!

Hujui kama ndani ya nyumba iliyofungwa umeme kuna circuit breaker!

Idiot
 
Yaan mtu yuko ktkt ya moto aingie ndani atoe mke aingie tena atoe mtt aingie tena amtoe mfanyakazi aingie tena atoe mtungi wa ges na kuutupa nje af atoke nje af walale nje kusubiri pakuche duh sio filamu hii kweli!?
Sasa unachobisha ni nini mzee huu mkaaa umetokea kweli na ni kweli familia yote imeteketea kwa ajali iyo ya moto wala hakuna uongo wowote apa huu mkasa umetokea kweli kabisa kabisa usipende kubisha bisha kila jambo mzee
 
Naona mtoto aliyekuwa kabaki naye kaumaliza mwendo. Familia yote imeisha.
 
Yaan mtu yuko ktkt ya moto aingie ndani atoe mke aingie tena atoe mtt aingie tena amtoe mfanyakazi aingie tena atoe mtungi wa ges na kuutupa nje af atoke nje af walale nje kusubiri pakuche duh sio filamu hii kweli!?
Utoto unakusumbua, ukikua utajua tu
 
Yaan mtu yuko ktkt ya moto aingie ndani atoe mke aingie tena atoe mtt aingie tena amtoe mfanyakazi aingie tena atoe mtungi wa ges na kuutupa nje af atoke nje af walale nje kusubiri pakuche duh sio filamu hii kweli!?
Hii jeuri ya kushiba na uzima ulionao Leo ndyo unaona Kama umewin maisha Sana ukisoma stor usipoiona haina funzo Kaa kimya.
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Rest In Peace

Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
 
Daah huyo jamaa namfahamu sana na alikuwa kamaliza Udsm kwenye 2016 hivi alikuwa anasome uchumi sikufahamu kuwa ni yeye aliyepatwa na mkasa huu

Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe
 
Pumziko La Amani wapate.

Ila kwa kweli ukisikia harufu ya gesi usifanye chochote, wote tokeni nje na milango na madirisha yafunguliwe...kama inawezekana kafunge gesi isiendelee kutoka...msubiri mpaka hewa irudi kwenye hali yake.

Kushauri Mitungi kukaa nje ni sawa lakini Nyumba nyingi za kupanga hazijaandaliwa kuwa hivyo, Watumiaji wengi wanalala na Mitungi ndani.
 
DUUUH aiseee!!omba yasikukute!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…