Jikoni leo na Zero IQ

yaani nimeona mikono ya zero iq basi nimeshamjua na sura ikoje hapa namchora subirini picha ya zero iq leo mtaiona
[emoji16][emoji16][emoji125][emoji125]
 
Kinavutia kula kinaonekana ni kitabu, nimependa mboga ya kijani hujaivisha sana.
Haya leta maji tunawe tushambulie msosi
Inshala nimeshakula now niko Ok nimebakiwa na kazi moja tu.......... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…