Akili zako unazijua mwenyeweKuna wana wangu wamekuja kunitembelea leo hapa gheto sasa hivi nipo natengeneza kitu,
Jikoni leo Usibanduke kwenye Uzi Update kwa picha mpaka natoa Kitu kinawekwa mezani kuliwa,
1:View attachment 1170311
Maandalizi ndio yameanza nachambua mboga ili nipeleke jikoni,
Note.
Update inaendelea mpaka msosi unaiva.
Mkuu wewe hujui kupika vizuri
😀😀😀Hahaha acha hzo chief
Viko kama vya diamond. Wenye vidole na vikucha vya hivi wanapenda sana kuto..mba ila wabahili kishenzi.Wakuu mmeona vidole vya zero iq anayekula madem mtaan
Mkuu wewe hujui kupika vizuri
Wakuu mmeona vidole vya zero iq anayekula madem mtaan
Huwa chakula huja kwa oda kwa ajili yake leo nmetoka job nkaambiwa kuna tatizo limetokeaSaafi kabisa mkuu kupika ni bora kuliko kula kwa vibanda
Ulaji wako umenipotezea apetite..[emoji17]
Why umekatia vitunguu kwenye karatasi? Au ndio hutaki kuosha vyombo vingi?[emoji23]Nakuunga mkono hapa chief nmeamua na mimi nimpikie mwanangu leo View attachment 1170366