Kweli ww ni zero Iq kabisaKuna wana wangu wamekuja kunitembelea leo hapa gheto sasa hivi nipo natengeneza kitu,
Jikoni leo Usibanduke kwenye Uzi Update kwa picha mpaka natoa Kitu kinawekwa mezani kuliwa,
1:View attachment 1170311
Maandalizi ndio yameanza nachambua mboga ili nipeleke jikoni,
Note.
Update inaendelea mpaka msosi unaiva.
Maisha ya chuo raha sana endelea bwana mdogo tu utafika mbali sana kuwa mbunifuKuna wana wangu wamekuja kunitembelea leo hapa gheto sasa hivi nipo natengeneza kitu,
Jikoni leo Usibanduke kwenye Uzi Update kwa picha mpaka natoa Kitu kinawekwa mezani kuliwa,
1:View attachment 1170311
Maandalizi ndio yameanza nachambua mboga ili nipeleke jikoni,
Note.
Update inaendelea mpaka msosi unaiva.
Mimi sio kama wao usifosi tufanane haujui nilianza kula nini tangu Asubuhi
Ana mpaka ungo??[emoji23][emoji23]Bila shaka mkuu wewe ni senior bachelor
Nasubiri sotojo litakalotoka hapa nile kwa picha nishushie maji nilale[emoji39][emoji39][emoji39]Zero iq na atoto leo lazima kinuke
Hili toto litachukua miaka milion kupata mzee kama mimi
Msiniulize majani ya chai ya nini kwani wali ukiweka majani haiwi pilau ngoja nitest [emoji39][emoji41]View attachment 1170586
[emoji3][emoji3][emoji3] daah hayaLabda tusaidiane wawili.
Sawa bwanaHahaha....nakufahamu vizuri babe,
Hahaha ashamalizaNasubiri sotojo litakalotoka hapa nile kwa picha nishushie maji nilale[emoji39][emoji39][emoji39]