Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

Safi sana mkuu. Umenikumbusha maisha ya geto nilivyokuwa chuo kabla sijamuoa shemeji yako.
 
mkuu mboga haina wese
Wese lipo, huwa naweka wese kidogo. Wese likikolea linakata mzuka.

Labda fundi mwingine apike kwa umaridi halafu aweke wese jingi hapo mzuka hautakatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…