Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

Mkuu kwa hii nguna kwanini wachawi wasikuchukue ukalime usiku wa leo tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mara ya pili naona wajumbe mnakula chakula bila kinywaji, Shunie njoo wafundishe kuandaa ile juice ya maziwa!.. Me siijui jina!
 
Mara ya pili naona wajumbe mnakula chakula bila kinywaji, Shunie njoo wafundishe kuandaa ile juice ya maziwa!.. Me siijui jina!
Wajumbe hatutaki mambo mengi sana mkuu, muda hautoshi
 
Kazi ipoo una safar ndefu kujua kupika ww

Hizi samaki au dagaa nyanya zimesimama juu juu
 
Hapa nakupa 0 ya 100
 
Yule uliempata hapa JF ulimpeleka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…