Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Huu ugali uliisha na uliliwa na watu wangapi?11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.
Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905
Sasa mtu anapika vizuri zaidi ya mkewe unategemea nini?Kwanini asioe? Kumbe mnaoaga wapishi sio wake?
Kadai yuko peke yake,ila size ya ugali ndio inatia mashaka...Ugali mkubwa sana huo unakula peke yako
Mpaka umeamua kupika mwenyewe kweli inaonekana uko mbioni kuvuta lile lingine...Ninalo la gesi, lile lingine lipo mbioni kuvutwa ndani hapa
Mkuu ugali mkubwa sana huo kwa single hauwezi kuumaliza!10. Ugali katika hatua za mwisho za kuivaView attachment 1177898
Dah...umeona eeeh....kama unapika kwa zaidi ya nyuzi joto 60°C karoti zinatakiwa ziwe na umbo la pembe 4 (cube) kwa kipimo kisichopungua milimita 4....ili zisipoteze virutubisho ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabla ya kujua huko chini unapika nini ila huo ukataji wakaroti sio
@Mwifwa huu ugali wote ulikula mwenyewe?[emoji848]11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.
Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mapishi haya utaoa kweli