Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

mimi nina wa admire ma Dr na Ma Prof tatizo nchi yetu haiwathamini kimapato ndio maana wengi wanaingia au wanakimbilia kwenye siasa.
So sad na wengine waliishia kufuga ngombe kujikimu kimaisha

mkuu, ni kweli wasomi wetu hawathaminiki hata kidogo, ndo maana wengi wao wanakimbilia nje ya nchi kusaka greener pasture. tatizo lililopo katika nchi hii ni kuacha akili ndogo (prof wa kichina) kuongoza akili kubwa (maprof wa ukweli).
 
Ngware sasa ni Prof. pale IDS
anasema "i live where other people live" (mbezi beach

halafu anasema ukiona gari lake manzese piga simu polisi ujue limeibiwa.
halafu eti kitandani kwake zinalala degree 7 zake 4 na 3 za mkewe

Hahahahaha! Ana mbwembwe si masikhara!
 
Prof Masesa kafariki lini,si yupo Bugando anafundisha.
 
hivi ni kweli mmemsahau dk osoro kwa Sasa ni prof pia kuna MTU mmoja wa statistics huyu anaitwa ngowi ana mkwara lakini anahuruma sana

mkuu unaposema ana HURUMA sana una maana gani? ina maani ni mvuaji mzuri wa chu*i?
 
Prof. Zul Premji yuko Aga Khan Univ. Nairobi. Prof. Mtimavalye RIP Prof. Kaisi{Obs/gynae}
 
Hii mada yako inatusaidia nn?kama mmewamiss mngeenda kuandaa anniversary nkurumah mkawaalika na kuwakumbuka waliotangulia.hzi ni story za kupiga vijiwen na masela wenzenu

nawe kama unaona hii mada haikufai si upite? kwani lazima kila mada inayoanzishwa humu iwe inakuingia kichwani? acha ushamba wewe. kipindi hiki ambacho mmefunga shule mtatusumbua sana humu nyie watoto.
 
EEEEEE Kwani vyuo vingine havina Maprofessa?
1Prof Nyamsogoro(nyamso)
2.Dr.Mujwahuzi njunwa R.I.P
3.Dr.Montaneus C.Milanzi
4.Dr.Tundui
5.Prof Kirway
6.

Prof. charles Tundui
Prof. Joseph Kuzilwa
Prof. A. Chamwali
Prof. Auriel Kamuzora
Prof. Jsephat Itika
Dr. Ernest Mwasalwiba
Dr. Benedict Lukanima
Prof. Srinivas Madishet
Prof. Temba
Prof Shumbusho
........................etc
Kweli Tanzania Tuna Maprofesa wengi sana,nchi imeiga hatua. Nijukumu la nchi sasa kuavoid UNDERUTILIZATION kwa hao wasomi.lazima wawe utilized efficiently.Watumike ipasavyo maana wengi wao serikali imegharamia kuwasomesha.
Pia SUA tuna maprofesa wengi sana pia,na sera ya kilimo kwanza haitakiwi isuesue ,Rasilimali fedha na rasilimali watu zitumike kuleta mapinduzi ,sio tu kuwa na wasomi ambao wanaufahali wa kuwa na rank kubwa huku kwenye utendaji wakifanya chini ya viwango . Tujifunze kwa utendaji wa Maprofesa Wa china.
 
1.Prof. Fredrick Kaijage
2.Prof. Isaria Kimambo
3.Prof. Kapepwa Tambila
4.Prof. Y.Q. Lawi
5.Prof. Nesta Luanda
6.Prof. Betram Mapunda
7.Prof. Abdul Sheriff
8.Prof. John Iliffe
9.Prof. Terence Ranger
10.Prof. Jacques Depelchin

Soma picha mwenyewe ujue naongelea mtandao gani. Course work mnaenda mda wa ziada (dakika 120) na usishangae kupatika kwa matuta.
 


Tusiwasahau wakongwe kama:
Prof. Dani Wadada Nabudere - Dpt. of Pol. Sc., c. 1963..? (Ugandan) - RIP
Prof. Goran Hyden - Dpt of Pol. Sc., c. 1975 ...? (Swedish)
Prof. Yash Tandon - Dpt. of Pol. Sc., c. 1973 ...? (Ugandan)
Prof Nathan Shamuyayira - Dpt. of Pol. Sc., 1968 -1977 (Zimbabwean) RIP
Prof. Walter Rodney - Dpt of Pol. Sc. or Hist., 1966 - ? (Guyanese) RIP
Prof. Horace Campbell - Dpt of Pol. Sc. 19...? (Jamaican)
Prof. Mahmood Mamdani - Dpt of Pol. Sc. 1973 - 79 (Ugandan)


Kama kuna wengine, waongezeeni ....
 
Umetisha kaka wewe ni Pure SUA product
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…