Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Vigezo vya Dr. au Prof. kuwa mkali ni vipi?! Ninachokijua ni ku-publish a good number of high quality papers. Au kwa maneno mengine ku-generate high quality knowledge which has impact on the life of the majority, and theoretically to push frontiers of their discipline.

Sasa kumbe unajuwa huku unauliza
 
Hivi prof lipumba hajawahi fundisha udsm?

Duh, kama aliwahi kufundisha basi itakuwa miaka ya zamani sana ambapo wengi wetu tulikuwa hatujatia timu Ud, maana yule jamaa aliingia kwenye siasa zaidi ya miaka ishirini iliyopita, so sidhani kama wengi wetu walimkuta akiwa mkufunzi...
 
Dr. Joyce Nyoni, Dr. Datius Rweyemamu, Dr. Thomas Ndaluka, Dr. Vendelin, Dr. Nandela, Dr. Kamugusha, Dr. Dauda Masoud, Prof. Msoke, Prof. Mwaipopo.....vichwa vya dept ya sociology hvo
 
Kwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu na wengine kuacha kazi na kuingia katika siasa hasa ubunge. Leo nimewakumbuka nikawafananisha na timu ya Barcelona wakali hao. Huenda wengine wamefariki halafu sijui kama wajua saidia kuweka RIP na ongeza wengine unaowakumbuka. Sijui sasa hivi hali ikoje kwa upande wa ubora ukilinganisha na wakali hawa
1. Prof. Mathew Luhanga - Vice Chancelor
2. Prof. Mayunga Nkunya
3. Prof John Mshana
4. Prof. Mutabaji
5. Prof. Idris Kikula
6. Prof. Rwekaza Mukandala - Sasa ndiye Vice - Chancelor
7. Prof. Haroub Othmani -R.I.P.
8. Dr. Sengodo Mvungi - R.I.P
9. Prof. Issa Shivji
10. Prof. M. M. Mulokozi
11. Dr. Ndibalema
12. Dr. Hamza Njozi
13. Prof Josephati Maghway
14. Prof. Ishumi
15. Prof. Galabawa
16. Prof. Chachage - R.I.P
17. Dr. A Rwaitama
18. Prof. P. Mlama
19. Dr. Joyce Ndalichako
20. Prof. H. Mwansoko
21. Dr. Mreta
22. Dr. Kadeghe
23. Prof. Omary
24. Dr. B. Massele
Hawa ni baadhi tu ya wakali wa wakati huo baadhi yao bado wapo. Heshima zao sana.

KUNA HUYU NAONA HUAMTENDEA HAKI

PROF....TOLLY MBWETTE..........nadhani vile viti vya cement mlivyokalia vyote UDSM ni yeye aliyeviasisi...vimbwette....kila chuo hapa tanganyika vipo..............

kuna bwana moa nakumbuka nilikutana nae sudan.....aliniacha hoi si kidogo......aliniambia alikuwa TUKI miaka hiyo...watanganyika mkkutana nchi za watu....mwanzoni aliitambulisha ANAITWA TIGIT SENGO........NIKAMKARIBISHA KWAWENYEJI WETU ...UTAMBULISHO ULINIACHA HOI......PROF....DR.....SHEIK TIGIT SENGO.....KWAPEMBENI AKNIAMBIA PIA NI MGANGA WA KIENYEJI...........HUYU NI MTAALAM WA LUGHA HASWA KISWAHILI.....SIAWAHI ONANA NAE TENA.....MNAOMFAHAMU TUUZENI ZAIDI HUYU PROF YUKO WAPI.....KUNA MWINGINE NILIMKUTA RWANDA...PROF WA KISWAHILI ...PROF EMMANUEL MBOGO ALINIAMBIA NI ZAO LA UDSM
 
Udsm mnaraha sana...wenzenu chuo kimejaa ma tutor et ndo wakuu wa department
 
Prof.senkoro,prof.kahigi, prof.njabiri.dkt..ishengoma
 
Prof Nyahumwa enzi akiwa Dr Engineers wengi hawatamsahau kwa jinsi alivyokuwa anawakamata kwenye Strength of Material ME 101

Dr.NN()Nalitorela ;Dr. Bisanda ;Dr Elias;Dr J Runyoro;Dr.Nyamwihura;Dr Mvungi;Dr Manyahi;Dr Mshoro;Dr Kyaruzi;Dr Nzali;Dr John;Dr Kahambwa;Prof Mshana;Dr Mhilu;Dr Nyahumwa nk hiyo ni FoE 1994
 
mimi nina wa admire ma Dr na Ma Prof tatizo nchi yetu haiwathamini kimapato ndio maana wengi wanaingia au wanakimbilia kwenye siasa.
So sad na wengine waliishia kufuga ngombe kujikimu kimaisha
 
Kuna yule mchagga anafundisha statistics first year anakujaga amelewa asubuhi simkumbuki jina.
 
Kwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu na wengine kuacha kazi na kuingia katika siasa hasa ubunge. Leo nimewakumbuka nikawafananisha na timu ya Barcelona wakali hao. Huenda wengine wamefariki halafu sijui kama wajua saidia kuweka RIP na ongeza wengine unaowakumbuka. Sijui sasa hivi hali ikoje kwa upande wa ubora ukilinganisha na wakali hawa
1. Prof. Mathew Luhanga - Vice Chancelor
2. Prof. Mayunga Nkunya
3. Prof John Mshana
4. Prof. Mutabaji
5. Prof. Idris Kikula
6. Prof. Rwekaza Mukandala - Sasa ndiye Vice - Chancelor
7. Prof. Haroub Othmani -R.I.P.
8. Dr. Sengodo Mvungi - R.I.P
9. Prof. Issa Shivji
10. Prof. M. M. Mulokozi
11. Dr. Ndibalema
12. Dr. Hamza Njozi
13. Prof Josephati Maghway
14. Prof. Ishumi
15. Prof. Galabawa
16. Prof. Chachage - R.I.P
17. Dr. A Rwaitama
18. Prof. P. Mlama
19. Dr. Joyce Ndalichako
20. Prof. H. Mwansoko
21. Dr. Mreta
22. Dr. Kadeghe
23. Prof. Omary
24. Dr. B. Massele
Hawa ni baadhi tu ya wakali wa wakati huo baadhi yao bado wapo. Heshima zao sana.

TBT at all times is Prof Burton Mwamila...principle wa kwanza wa COET...Engineers of UDSM you know what I am talking about...! Current isvthe VC of Nelson Mandela University at Arusha.
 
Back
Top Bottom