Uchaguzi 2020 Jimbo la Ubungo: ACT-Wazalendo yadaiwa kumuwekea pingamizi Meya Jacob na madiwani wote wa CHADEMA

Taifa la mitandaoni wakiandamana kwa malaika wa chadema...

Mnatia aibu aisee
 
Hivi si ni kitila na ZITTO ndio walianzisha ACT?.. Watu wanasahau haraka Sana.. Boniface asishangae sana kuwekewa mapingamizi na ACT.. BEWARE: Politicians at work.
Kwa hiyo wagombea wa CHADEMA ni dhambi kuwekewa pingamizi siyo?

Ufipa ni mfupa wa kichwa
 
Dah inasikitisha sana Zitto naye kubariki hayo Mapingamizi ,,,Upinzani imara ni kupambana na CCM na sio Upinzani mwenzako ,kazi ya kupambana na wapinzani wamepewa Lipumba na Shibuda na wapo kwenye payroll.
Mimi sioni upinzani hapo, naona ushindani tu
 
Maelfu ya wananchi waliojitokeza kumdhamini Lissu walipata wapi taarifa iwapo TBCCM na tv zingine radio na magazeti vililazimishwa kuimba mapambio ya watawala? Nguvu ya social media wala usi under-rate utakuwa unajidanganya katika karne hii.
 
Tatizo hawa ACT si ndio walikuwa wanalilia kuungana na Chadema kuweka mgombea mmoja,sasa leo inakuwaje uwawekee pingamizi partner wako na kumuacha adui wenu Mkuu?
Nadhani kama wangeungana harafu, harafu act akaweka pingamizi sehemu ambayo cdm imesimamisha mgombea, hapo pangekuwa na hoja. Kwasasa act yupo huru.
 
Mlimfukuza Zitto mkafikiri asingefanikiwa kisiasa sasa mnabweka bweka humu JF awabebe
 
Ben alikuwa na Mbowe baadae ndio tukasikia kapotea
 
Ukimtaja Jack huwezi kumwacha Mzee Othman!

CCJ ilifia wapi??

Kumbukumbu ni jambo muhimu!
Hiyo na wewe ndio kumbukumbu yako, mi nimetaja cha ACT na ACT ilikua lazima watafute kiongozi "mzuri" aina ya zitto na yule katibu mkuu wa maji ambaye ni mgombea wa ubungo
 
Tuwekane sawa tu, Jacob ameenguliwa baada ya kuwekewa pingamizi na mgombea wa ACT, mgombea wa CCM alimuwekea pingamizi mgombea wa ACT.
 
CCM imechokwa Sana na mgombea wake hana mvuto kabisa. Kumbe hata watu kule Dodoma wamekusanywa kwa nguvu!!
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…