Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nimepita hapo leo gang 48, nikitoka manyoni to Tabora,,na Mie nilistuka kidogo,Ila nahisi ilitokana na vituo vya train enzi zile...Ukipita sehemu mbalimbali hapa nchini kuna majina pengine ulistaajabu kuyasoma ama kuyasikia, mfano kuna sehemu panaitwa GANG 48 Mkoani Tabora ni jina ambalo linakufanya utake kujua nn hasa ni hio GANG 48 , KAZIKAZI, nakadhalika
Ongeza na "KIPUMBUIKO"Kinampanda
Kinampundu
Singida huko
Umekosea ndugu. Jina Ni Barnabas MatikuAdvance nilisoma na jamaa anaitwa Barnabas Matako. Kama yumo humu naomba nisamehe kwa kukutolea mfano ila kiukweli kwa mara ya Kwanza nilishangaa sana.
Yeah hayo majina ya kisukuma. Kiberiti huyu ni mzee nafanya nae kazi, kuna Sindano, Cherehani n.kkiberiti nalo ni jina la mtu nilisomaga naye olevel
Advance ulisoma Mwaka gani.Umekosea ndugu. Jina Ni Barnabas Matiku
CO matako kweli?Umekosea ndugu. Jina Ni Barnabas Matiku
Sio matako. Barnabas Matiku, alisoma advance Mwaka gani.Co
CO matako kweli?
Wahuni tu ndiyo wameharibu hilo jina. Ni sawa na kusema TigoKwa Mpalange 🥲