Jina gani la ajabu la sehemu yoyote umewahi kulisikia ukabaki mdomo wazi?

Jina gani la ajabu la sehemu yoyote umewahi kulisikia ukabaki mdomo wazi?

Niliipiga mimi hii picha
 

Attachments

  • Screenshot_20230919-235715.jpg
    Screenshot_20230919-235715.jpg
    32.8 KB · Views: 4
Tulisoma na jamaa mmoja ni mngoni anaitwa Tumbiri komba...Ila alibadili jina la kwanza la mbele limebaki komba ..
nimesoma na mwamba 1 shule ya msingi anaitwa bellokumanzi muhagama ila kufika sekondari kuna muhuni akaongeza neno to ilikuwa kasheshe siku iyo ticha akaita kwenye daftari

bellokumanzito
 
nimesoma na mwamba 1 shule ya msingi anaitwa bellokumanzi muhagama ila kufika sekondari kuna muhuni akaongeza neno to ilikuwa kasheshe siku iyo ticha akaita kwenye daftari

bellokumanzito
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ntugavuzi sabagu... Alikuwa mkuu wangu wa shule
 
Back
Top Bottom