Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmetudamkia wanyadogiUsengelindete, Mafinga hiyo
Nilijidai sijamsikia vizur nikamuuliza David makuku? Mwamba akarudia kwa kutaja spelling kisha akaunganisha kwa msisitizo maana I wanted to be sure maana simu zinarekodiwa hahah[emoji28][emoji28][emoji28] na analitaja comfortably kabisa
Kangae CBESehemu gani mwanza
Panaitwa KiboriloniKibororoni
Kwa Bi kivuziKiluvya huko kuna mahali panaitwa Kwa Kivuzi na maili moja ipo panaitwa Kwa pumbuli.
Geita kuna mtaa unaitwa Kishimbenzobe (kwa Kiswahili maana yake Jeuri ya Punda)
1:Kwa mtoro (chemba- dodoma)Ukipita sehemu mbalimbali hapa nchini kuna majina pengine ulistaajabu kuyasoma ama kuyasikia, mfano kuna sehemu panaitwa GANG 48 Mkoani Tabora ni jina ambalo linakufanya utake kujua nn hasa ni hio GANG 48 , KAZIKAZI, nakadhalika
Mtanzania..?kiberiti nalo ni jina la mtu nilisomaga naye olevel
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiberiti ni koo huku ungonini.Mwenyewe nliesoma nae olevel alikua wa songea [emoji1][emoji1]...Itakua ni jina la kingoni hilo
Kama hivyo sawa 😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiberiti ni koo huku ungonini.