Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

Ukianzisha uzi wako mtu akileta utani unamind😇😇😇
Sasa utani nilioleta uko wapi hapo?

Wewe huelewi kua mama anaupiga mwingi?
Kwa mara ya kwanza Tanzania inaongoza Afrika kwa watu wenye furaha.
 
Giannis Antetokounmpo
Manuel Rui Costa
Alessandro Costacurta
Gianluca Zambrotta
Stefan Effenberg
Uchechukwu "Uche" Okochukwu
Ole Gunnar Solskjær

Wachezaji karibu wote wa zamani wa Tanzania, maana zamani kabumbu tulikuwa tunalisikiza RTD
Edibily Jonas Lunyamila (hii mashine acha kabisa)
Joseph Kaniki "Golotha"
Sanifu Lazaro "Tingisha"
Juma Bakari Kidishi
Salum Kabunda "Ninja"
Mohamed Mwameja "Tanzania one"
Mwanamtwa Kihwelo "Dally Kimoko"
.
.
.
Hapa wapo wengi sana...
Victor Costa Nyumba
Steven Mapunda Garincha
Waziri Mahadhi Mendieta.
 
Back
Top Bottom