Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
T,S kamusokokolomwani
Mama Samia anaupiga mwingi.Kuna majina ya wachezaji huwa yanavutia hasa pale yanapotamkwa.
Yapo mengi yanayonivutia miongoni mwao ni haya,
Juan Roman Riquelme
Kevin Prince Boateng
George Magere Masatu
Jina gani huwa linakuvutia?
Ukianzisha uzi wako mtu akileta utani unamind😇😇😇Mama Samia anaupiga mwingi.
Randall Kolo Muanikolomwani
Sasa utani nilioleta uko wapi hapo?Ukianzisha uzi wako mtu akileta utani unamind😇😇😇
Victor Costa NyumbaGiannis Antetokounmpo
Manuel Rui Costa
Alessandro Costacurta
Gianluca Zambrotta
Stefan Effenberg
Uchechukwu "Uche" Okochukwu
Ole Gunnar Solskjær
Wachezaji karibu wote wa zamani wa Tanzania, maana zamani kabumbu tulikuwa tunalisikiza RTD
Edibily Jonas Lunyamila (hii mashine acha kabisa)
Joseph Kaniki "Golotha"
Sanifu Lazaro "Tingisha"
Juma Bakari Kidishi
Salum Kabunda "Ninja"
Mohamed Mwameja "Tanzania one"
Mwanamtwa Kihwelo "Dally Kimoko"
.
.
.
Hapa wapo wengi sana...
Wewe mtu mzima na wajukuu lakini hujielewiSasa utani nilioleta uko wapi hapo?
Wewe huelewi kua mama anaupiga mwingi?
Kwa mara ya kwanza Tanzania inaongoza Afrika kwa watu wenye furaha.
Kwa hiyo role model wenu ndio hutaki kabisa kumtaja kwasababu Uto wenzio watakuona msaliti?Haya basi, Che Malone.
Uwanja mpana Kaka 🤓🤣🤣Rio fedinand
Gerard pique.....mpaka Leo najiuliza Sijui kwnn mwamba alilikimbia lile uno la shakira
Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro
Uwanja mpana Kaka 🤓🤣🤣Rio fedinand
Gerard pique.....mpaka Leo najiuliza Sijui kwnn mwamba alilikimbia lile uno la shakira
Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro
Hata kama lakn kwa anavolichekecha sidhani kama hapati tuvitu vituUwanja mpana Kaka 🤓🤣🤣