Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

nawaonesha kwa picha maana nikiandika watafuta
Screenshot_20240315-194325.jpg
 
Kuna majina ya wachezaji huwa yanavutia hasa pale yanapotamkwa.

Yapo mengi yanayonivutia miongoni mwao ni haya,
Juan Roman Riquelme

Kevin Prince Boateng

George Magere Masatu

Jina gani huwa linakuvutia?
Miaka hiyo nacheza PS 2

Utasikia "Recupelà la possessión, e theré pass encar, sirî aà compasire campaneró, .....

Sijui ndio kinini nimejitahidi kuandika inavotamkwa "...[emoji41]

Ila jina YANNICK LITOMBO BANGARA na BAKARI NONDO MWAMNYETO el Capitano.. kwa mtangazaji yoyote yako poa tu kwenye NBC premium league.
 
Kuna majina ya wachezaji huwa yanavutia hasa pale yanapotamkwa.

Yapo mengi yanayonivutia miongoni mwao ni haya,
Juan Roman Riquelme

Kevin Prince Boateng

George Magere Masatu

Jina gani huwa linakuvutia?
Eduardo Camavinga
Fede Valvede
Mac Allister
Clatous Chota Chama
Luis Josee Miquisonne
Liadre Esomba Onana
 
Agwalaho, ni mnigeria sijui alikuwa anacheza timu gani,kuna mtangazaji kwenye PS akifunga utamsikia " Agwalahooo"

Gabriel Agbonlahor, ni muingereza mwenye asili ya Nigeria alikuwa anakiwasha Aston Villa...
 
Back
Top Bottom