Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
nawaonesha kwa picha maana nikiandika watafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka hiyo nacheza PS 2Kuna majina ya wachezaji huwa yanavutia hasa pale yanapotamkwa.
Yapo mengi yanayonivutia miongoni mwao ni haya,
Juan Roman Riquelme
Kevin Prince Boateng
George Magere Masatu
Jina gani huwa linakuvutia?
Eduardo CamavingaKuna majina ya wachezaji huwa yanavutia hasa pale yanapotamkwa.
Yapo mengi yanayonivutia miongoni mwao ni haya,
Juan Roman Riquelme
Kevin Prince Boateng
George Magere Masatu
Jina gani huwa linakuvutia?
Mnafiki Wa Kujitegemea.Kuna majina ya wachezaji huwa yanavutia hasa pale yanapotamkwa.
Yapo mengi yanayonivutia miongoni mwao ni haya,
Juan Roman Riquelme
Kevin Prince Boateng
George Magere Masatu
Jina gani huwa linakuvutia?
Agwalaho, ni mnigeria sijui alikuwa anacheza timu gani,kuna mtangazaji kwenye PS akifunga utamsikia " Agwalahooo"
Mda mwngn mambo ya ufundi Sijui arena na etc hua ni namna tu ya kuhalalisha au kutafuta tu sababu ya kutaka kufanya jambo flanUkute kapata uwanja wa box, lazima ahame🤓🤣
Wewe ndo umeua sasaGerard Pique,
Skudu Mahlatse Makudubela,
Che Malone Fondoh,
Jesus Moloko Ducapel, napenda sana.
Kiwanja Cha nou camp, umpeleke jibu d aka chezea si matusi hayo🤓🤣Mda mwngn mambo ya ufundi Sijui arena na etc hua ni namna tu ya kuhalalisha au kutafuta tu sababu ya kutaka kufanya jambo flan
Mwamba amepotelea wapi?nilikuwa namkubaliJavier Hernandez "Chacharito"
Kwani tofauti y Nou camp na Lupaso n nnKiwanja Cha nou camp, umpeleke jibu d aka chezea si matusi hayo🤓🤣
Tofauti ya lupaso na chamazi ni nini??Kwani tofauti y Nou camp na Lupaso n nn
MmilikiTofauti ya lupaso na chamazi ni nini??
Aliludi club yake ya utotoni mwaka huu ipo mexico inaitwa GuadalajaraMwamba amepotelea wapi?nilikuwa namkubali
Mwamba amepotelea wapi?nilikuwa namkubali