Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

Agwalaho, ni mnigeria sijui alikuwa anacheza timu gani,kuna mtangazaji kwenye PS akifunga utamsikia " Agwalahooo"
 
Skudu naninani sijui kati pale halafu makudubhela

Mandzukich

Haruna hakizomana niyonzima

Segio Kun agueroooo

Na athuman idd "chuji''
 
Skudu naninani sijui kati pale halafu makudubhela

Mandzukich

Haruna hakizomana niyonzima

Segio Kun agueroooo

Na athuman idd "chuji''
Luka Modric
Klaas Jan Huntelaar..
Martin Odegaard
Emanuel Arnold Okwi
Emanuel Gabriel.
Kelvin de brune,
Roben Van persie
Edwin Van Der sir
mzee hapo kwa huntelaar umetisha sana wa dutch wana majina matamu sana asa umkute mtangazaji nguli
 
Back
Top Bottom