Hilo jina limekaa kihazabeOtorong'ong'o nimekuja kujua maana take nikacheka sana nilikuwa mitaa ya shirati.. Kina mwamba akanizoea sana kwahiyo kwa kunipamba akawa ananiita hivyo..
Nikamuuliza maana take kumbe ni nzuri tu
Huyu sijui aliwaza nini?
Huyu Prakatatumba abaabaabaa sijui ilikuwa kila akiingiza jina anakuta lipo tayari? Mwenyewe aje atuambie.
Umeona mambo hayo hilo trela tu muvi yenyewe bado sasa 🤣🤣🤣wach nione maana mmoja anasema kuwa mbususu yake ina password 🤣 🤣 🤣 🤣
Nausubiria kwa hamu huo mkasa maana jana tumeachana unaenda kitambaa cheupe navyokujua wewe ndg yangu kwenye tasnia ya uchakataji!! Acha nisubirie😅😅😅goja nikiamka nitakupa mkasaaa .. ndio tunaingia aisee kupumzika
Haina tabu.Mkamaria mbobezi wa over 2.5 😂
Yaani Ato++ na Mushi ...eeeeh hii Kali sasaNaantombe Mushi Jina la kike hili tulisoma nae huyu
Dah mwanawane, ngoja nisogee kwanza mlimani city nipige kahawa nikae vizuri 😀😀😀 hawa watu watatuuu viunoniNausubiria kwa hamu huo mkasa maana jana tumeachana unaenda kitambaa cheupe navyokujua wewe ndg yangu kwenye tasnia ya uchakataji!! Acha nisubirie😅😅😅
Mkuu jina langu linakuchekesha kweli??
Sikukuu yanguBibie
Njoo uchukue mwanangu mzuri😍Sikukuu yangu
Haha but ni jina zuri tu kwa kilugha chao wachagaNaantombe Mushi hili jina asee huwa nachekaga tu.
Hapana asee...Haha but ni jina zuri tu kwa kilugha chao wachaga
Naam ndivyo wanavyosema.Hapana asee...
Pata picha mkeo aseme Naantombe Mushi utakuwa kwenye Hali gani ?
We fikiria tuuh😛
Afu ni jina lake halisi,,, yaan ndo alilopewa na wazaz wake,,, hua najiuluza wazaz walikosa kabisa jna la kumpa?Naantombe Mushi hili jina asee huwa nachekaga tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Prakatatumba abaabaabaa [emoji23][emoji23][emoji23]