Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

HOD where are you ?mbona hujibu ?tatizo ulipolala wewe watu washaamka......!hv kwa nini hampendi kua wakweli......

Tatizo la HOD anapoweka bandiko anahisi watakaosoma ni watu walio na upeo kama wake.
 
insta wameshadanganywa hadi basiiii


ile research iliyosema Tz watu wana low IQ wala haikukosea..laiti wangejua kuna watu huko USA wanafanya lobbying ili Jay z na Beyonce wapewe heshima hiyo ya hollywood walk of fame wala wasingethubutu ku post hii ----..daamn it
 

Duh! Umesikia lakini heaven on desert ?
 
Last edited by a moderator:
ile research iliyosema Tz watu wana low IQ wala haikukosea..laiti wangejua kuna watu huko USA wanafanya lobbying ili Jay z na Beyonce wapewe heshima hiyo ya hollywood walk of fame wala wasingethubutu ku post hii ----..daamn it

wasanii gani wamewahi kupewa hiyo heshima ...walking of fame
 
If he dream he better work up and appologise.Mbona mnapenda kuidanganya jamii jamani?Unatakiwa ufanye kitu ambacho hakito sahaulika milele ndo uwekwe pale na wao wenyewe.Je hio almasi ya bongo imefanya nini
 
If he dream he better work up and appologise.Mbona mnapenda kuidanganya jamii jamani?Unatakiwa ufanye kitu ambacho hakito sahaulika milele ndo uwekwe pale na wao wenyewe.Je hio almasi ya bongo imefanya nini

Huyo mleta habari hajui mambo ya burudani ya kimataifa tena ni mbishi kama ---- hapo kajificha anaangalia upepo.
 
If he dream he better work up and appologise.Huwezi wekwa pale hadi ufanye kitu ambacho hakito weza sahaulika milele.Je almasi hio ya bongo imefanya nini?Msi idanganye jamii jamani.
 
Yaani hili umekuja kujisifu wakati ni nothing sipati picha ikatokea BahaTi mbaya mmeshinda hiyo kitu mnaweza mkatembea u.chi bora mkose ili hili lisiwatokee
Diamond njoo tu uwe unachukua kili awards ujifariji hongera kwa ku-share ukumbi mmoja na super stars leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…