Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

insta wameshadanganywa hadi basiiii


ile research iliyosema Tz watu wana low IQ wala haikukosea..laiti wangejua kuna watu huko USA wanafanya lobbying ili Jay z na Beyonce wapewe heshima hiyo ya hollywood walk of fame wala wasingethubutu ku post hii ----..daamn it
 
Mkuu tatzo letu waTZ tunapenda sana uongo..
Hyo sio hollywood walk of fame,.

HIYO NI KUTambua uwepo wake kwenye tuzo za BEt na aihusiani na hollywood hata kidogo,sherehe za tuzo zikiisha na jna lake linatolewa hapo..

Avheni sifa za kijinga bhana,kupenda kujipa mambo yasiyokuwepo na yasiyowezekana..

Big up diamond kwa kutuwakilisha,ila mfundishe kaz huyu mtangazaji wako

Duh! Umesikia lakini heaven on desert ?
 
Last edited by a moderator:
ile research iliyosema Tz watu wana low IQ wala haikukosea..laiti wangejua kuna watu huko USA wanafanya lobbying ili Jay z na Beyonce wapewe heshima hiyo ya hollywood walk of fame wala wasingethubutu ku post hii ----..daamn it

wasanii gani wamewahi kupewa hiyo heshima ...walking of fame
 
If he dream he better work up and appologise.Mbona mnapenda kuidanganya jamii jamani?Unatakiwa ufanye kitu ambacho hakito sahaulika milele ndo uwekwe pale na wao wenyewe.Je hio almasi ya bongo imefanya nini
 
If he dream he better work up and appologise.Mbona mnapenda kuidanganya jamii jamani?Unatakiwa ufanye kitu ambacho hakito sahaulika milele ndo uwekwe pale na wao wenyewe.Je hio almasi ya bongo imefanya nini

Huyo mleta habari hajui mambo ya burudani ya kimataifa tena ni mbishi kama ---- hapo kajificha anaangalia upepo.
 
If he dream he better work up and appologise.Huwezi wekwa pale hadi ufanye kitu ambacho hakito weza sahaulika milele.Je almasi hio ya bongo imefanya nini?Msi idanganye jamii jamani.
 
Yaani hili umekuja kujisifu wakati ni nothing sipati picha ikatokea BahaTi mbaya mmeshinda hiyo kitu mnaweza mkatembea u.chi bora mkose ili hili lisiwatokee
Diamond njoo tu uwe unachukua kili awards ujifariji hongera kwa ku-share ukumbi mmoja na super stars leo
 
Back
Top Bottom