Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenywe hawezi kujieleza kwa undani.Hiyo kazi tuwape wabongolanders.Utapata kuanzia first version hadi the latest ya Christina.Yuko Instagram,ukimuuliza atakujibu kule...
Sio mdau wa Instagram hivyo siwezi muuliza, labda kama unayo namba yake nipatie nimuulizeYuko Instagram,ukimuuliza atakujibu kule...
Hau bafwetu(How can that be,friend)?Christina huko mbele ubini ni wa Goma-DRC
Na ndio maana tunaulizana hapa hapa 😂Yeye mwenywe hawezi kujieleza kwa undani.Hiyo kazi tuwape wabongolanders.Utapata kuanzia first version hadi the latest ya Christina.
Ukiona mwanaume anaachana na mwanamke mzuri jua amevumilia mpaka akakiona kifo chake ndipo akakubali kuwa basi yaishe kama ni maisha vs mwanamke mzuri.Kwa nini bado analitumia hilo jina ilhali wameshaachana?
Kwani waziri wetu ile ndoa na yule mubaba waliokuwa wanajifukiza wote kipindi Cha mwendazake haipo Tena?Labda sababu mume hajafungua kesi ya kumnyang'anya jina na jina limempa umaarufu. Ila baadhi ya wanawake tabu sana wanakana majina ya wazazi wao na kujipachika ya mume mfano bona kalua alipoachika akatakiwa kuliacha,bado waziri wetu gwajima daah
I am a witness of this for sure though hatukufikia ndoa.Ilifika kwa wazazi tuUkiona mwanaume anaachana na mwanamke mzuri jua amevumilia mpaka akakiona kifo chake ndipo akakubali kuwa basi yaishe kama ni maisha vs mwanamke mzuri.
Kwani waziri wetu ile ndoa na yule mubaba waliokuwa wanajifukiza wote kipindi Cha mwendazake haipo Tena?