Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #101
PoaNaona ameamua kuita mtandao X ili uendane na kampuni yake ya Space X inayohusika utafita nje ya dunia (kwenye sayari)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaNaona ameamua kuita mtandao X ili uendane na kampuni yake ya Space X inayohusika utafita nje ya dunia (kwenye sayari)
Jamii yetu ina kaupuuzi fulani hivi😁Sio Twitter tu,
Hata mtandao wa "Tigo" nao kwa sasa ni vigumu kumwambia mtu kwamba unatumia Tigo kama mtandao wako wa mawasiliano.
Mtu ana kuuliza, mkuu unatumia mtandao gani?
Kwenye kumjibu lazima usindikize neno "mtandao" kwanza, Maana ukijibu tu haraka haraka kwamba "Natumia Tigo"
Kuna ukakasi hapo, jamii isha tafsiri vibaya neno Tigo, Kwamba ni yaleyale maeneo ya Buza.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Eti kwevo hilo jina linafurahishaUkiwa na pesa lazima uwe Kama mwehu fflani kama unabisha kamcheki kwevo
Anagusa meza ya wakubwa amekosa herufi zengine mpaka atumie herufi ya wakubwaYule jamaa ni shetani live...
Kabisa...
Yani katoka A....hadi X...
Why not Y... Au Z....
Limekaa kikubwa kubwaVp limekaa ki porn porn au
Ova
Tunaendelea kuzisakaWana JF Watakuambia "Kijana Tafuta hela"
Bila kusema Twitter lazima ungeaibika mzee mzimakuna siku kuna dogo mtot wa mshua wangu alikua antafta magemu kweny simu yngu si akOna hiyo application ya X dah dogo naona alieaza mbaLi sana mwshowe akaniuliza nkamwambia hyo twitter imebadilishwa jina imagine dogo aliemaliza la saba juzi tu halafu
tigo wamechelewa sana kubadili hilo jina lao, wakigundua ni tusi watabadilisha, kumbuka walianza mobitel, buzzy mpaka tigo. Kubadilisha ni kawaida yao wakitaka.Sio Twitter tu,
Hata mtandao wa "Tigo" nao kwa sasa ni vigumu kumwambia mtu kwamba unatumia Tigo kama mtandao wako wa mawasiliano.
Mtu ana kuuliza, mkuu unatumia mtandao gani?
Kwenye kumjibu lazima usindikize neno "mtandao" kwanza, Maana ukijibu tu haraka haraka kwamba "Natumia Tigo"
Kuna ukakasi hapo, jamii isha tafsiri vibaya neno Tigo, Kwamba ni yaleyale maeneo ya Buza.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
How? Wazungu hawako hivyo ujueHuu mtandao unaenda kufa atajuta..😂
Pia alitaka kuincorporate na makampuni yake kama mmiliki halisi.Jibu la kitaalamu.
Elon kaamua kuita mtandao ule wa twitter X kwa malengo ya kwamba ifike mahala ule mtandao sasa uwe multi task. Kiufupi afanye uwe kama we chat, facebook, instagram.
Biashara na social things in general ziendele mule.
Kwake yeye alikua akiona unaitwa tweeter na kile kindege . Aliona kama nia kubwa ilikua watu watoe sauti mbali mbali tu kama ndege. Huyu mlio huyu mlio.
Sasa X kwa nia ya kwamba uwe mtandao multi tasked
Wapo vipiHow? Wazungu hawako hivyo ujue