Jina la sasa la Twitter" X" lina utata sana

Jina la sasa la Twitter" X" lina utata sana

Sio Twitter tu,

Hata mtandao wa "Tigo" nao kwa sasa ni vigumu kumwambia mtu kwamba unatumia Tigo kama mtandao wako wa mawasiliano.

Mtu ana kuuliza, mkuu unatumia mtandao gani?

Kwenye kumjibu lazima usindikize neno "mtandao" kwanza, Maana ukijibu tu haraka haraka kwamba "Natumia Tigo"

Kuna ukakasi hapo, jamii isha tafsiri vibaya neno Tigo, Kwamba ni yaleyale maeneo ya Buza.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Jamii yetu ina kaupuuzi fulani hivi😁
 
kuna siku kuna dogo mtot wa mshua wangu alikua antafta magemu kweny simu yngu si akOna hiyo application ya X dah dogo naona alieaza mbaLi sana mwshowe akaniuliza nkamwambia hyo twitter imebadilishwa jina imagine dogo aliemaliza la saba juzi tu halafu
Bila kusema Twitter lazima ungeaibika mzee mzima
 
Sio Twitter tu,

Hata mtandao wa "Tigo" nao kwa sasa ni vigumu kumwambia mtu kwamba unatumia Tigo kama mtandao wako wa mawasiliano.

Mtu ana kuuliza, mkuu unatumia mtandao gani?

Kwenye kumjibu lazima usindikize neno "mtandao" kwanza, Maana ukijibu tu haraka haraka kwamba "Natumia Tigo"

Kuna ukakasi hapo, jamii isha tafsiri vibaya neno Tigo, Kwamba ni yaleyale maeneo ya Buza.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
tigo wamechelewa sana kubadili hilo jina lao, wakigundua ni tusi watabadilisha, kumbuka walianza mobitel, buzzy mpaka tigo. Kubadilisha ni kawaida yao wakitaka.
 
Jibu la kitaalamu.

Elon kaamua kuita mtandao ule wa twitter X kwa malengo ya kwamba ifike mahala ule mtandao sasa uwe multi task. Kiufupi afanye uwe kama we chat, facebook, instagram.

Biashara na social things in general ziendele mule.

Kwake yeye alikua akiona unaitwa tweeter na kile kindege . Aliona kama nia kubwa ilikua watu watoe sauti mbali mbali tu kama ndege. Huyu mlio huyu mlio.

Sasa X kwa nia ya kwamba uwe mtandao multi tasked
Pia alitaka kuincorporate na makampuni yake kama mmiliki halisi.
 
Back
Top Bottom