Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Ni kweli kama insta ndio kabisa. Ndio maana mtu wa instagram ukimleta huku JF ataona kama amepotea njia. Yaani ataona cha kuandika hakipo.Angalau si kama insta na fb
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kama insta ndio kabisa. Ndio maana mtu wa instagram ukimleta huku JF ataona kama amepotea njia. Yaani ataona cha kuandika hakipo.Angalau si kama insta na fb
X lina ubaya ganiToka billionaire Musk auchukue mtandao wa Twitter kuna mabadiliko kadha wa kadha amefanya.
Moja ya mabadiliko hayo ni kutoka kuitwa Twitter mpaka kuitwa "X".
Hili jina limekuwa na ukakasi mwingi sana hasa katika kulitumia kutambulisha mtandao unaotumia hata kufungua app yake katika kundi la watu lililo kuzunguka.
Hili jina "X" limejenga picha sio nzuri katika sehemu kubwa duniani ndani ya jamii hasa upande wa maadili.
Kuutamka mtandao "X" mbele ya watu lazima usindikize na Twitter ili usieleweke vibaya, naoa watangazaji wengi wa vipindi vya runinga na redioni lina wapa ukakasi mkubwa kulitamka.
Mfano: Mwanzo videos zilizopo Twitter zilikuwa zinaelezwa kama "Twitter videos" sasa hivi inabidi useme "X videos" tafrani tupu.
Sijui mtaalamu musk aliwaza nini juu ya hili jina maana limekaa kimagumashi balaah.
HakikaNi kweli kama insta ndio kabisa. Ndio maana mtu wa instagram ukimleta huku JF ataona kama amepotea njia. Yaani ataona cha kuandika hakipo.
ni tusiX lina ubaya gani
[emoji1787][emoji1787] noma sanaMimi napenda Kuangalia video za ‘X' za Viongozi wakubwa wakubwa kama Samia na Kikwete[emoji848][emoji2089]
Huu mtandao unaenda kufa atajuta..[emoji23]
Lazima ufe tu hakuna namna...😅Sio kirahisi hivo
Thread imeikuta X na itaiacha X yetu idumh[emoji23][emoji23]
kuna siku kuna dogo mtot wa mshua wangu alikua antafta magemu kweny simu yngu si akOna hiyo application ya X dah dogo naona alieaza mbaLi sana mwshowe akaniuliza nkamwambia hyo twitter imebadilishwa jina imagine dogo aliemaliza la saba juzi tu halafu
Hii haijakaa poa kabisani utata, zile picha mbaya za ngono tunazita picha za X, sasa ukisema picha x ni utata mtupu, ama za ngono au za mtandao wa X. Angalia sentensi hii, "natazama picha za x kwenye mtandao wa x, ni utata mtupu
Kuhusu space X sio tatizo kabisa shida ni mtandao wa kijamii kupewa hilo jina la X moja kwa moja mawazo yanayo kuja kichwani ni ya kipuuzi tu.Kumbuka elon ana Space X kabla hata kununua twitter, anapenda hata product zake kuwa hivyo.
😀dah, kwel kitu kinasoma x
Duuuuh!Elon ni wakala wa shetani
Vitu vya wakubwa hivyo. Una miaka mingapi kwanza ?X lina ubaya gani