Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #41
Sijui ? Labda ana target zake ?Mzungu na ujuaji wake hakuona huu upuuzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ? Labda ana target zake ?Mzungu na ujuaji wake hakuona huu upuuzi?
Alishindwa kutafuta jina lengine mbona hao wachina wemeita hivyo hivyo WeChat na sio neno gumu kama la bwana muskJibu la kitaalamu.
Elon kaamua kuita mtandao ule wa twitter X kwa malengo ya kwamba ifike mahala ule mtandao sasa uwe multi task. Kiufupi afanye uwe kama we chat, facebook, instagram...
Unamuuliza shangazi nataka kujua account yako ya X . Shangazi mwenyewe sasaLimekaa kizinzi!
X means undefinedAlishindwa kutafuta jina lengine mbona hao wachina wemeita hivyo hivyo WeChat na sio neno gumu kama la bwana musk
Utafanya nini sasa lazima umiliki ili vitu vya kimataifa usikose😀Kwa hyo mkuu nawe unamiliki faili la "X" Kwenye cm Yako[emoji28]
Nimekuelewa . Ila kwa hilo jina kitaa kitaa limekaa kimagumashiX means undefined
Na hata sasa x kuna video za porno sana tofauti na hapo swali.Ni mwendo wa "X videos" tu sasa hivi bwana musk bwana.
Yes mkubwa ila lengo lake pia ni hilo. Liteke dunia kwa uharaka. Ila issue kubwa ni hvo maana yake kwakeNimekuelewa . Ila kwa hilo jina kitaa kitaa limekaa kimagumashi
Kuna siku niko kwenye dalala pembeni yangu alikaa father mmoja hv wakati nataka niperuzi X wakati inataka ifunguke ikawa inaonekana ile herufi X pale juu alinikata jicho hilo..alijua sijui ni mambo ya kikubwaIla huu mtizamo ni wa wakubwa😀
Mie kila siku nikiingia twitter nakuta mimtu inangonoka tyu... notification za mapenzi kila wakati wakiongozwa na..Toka billionaire Musk auchukue mtandao wa Twitter kuna mabadiliko kadha wa kadha amefanya.
Moja ya mabadiliko hayo ni kutoka kuitwa Twitter mpaka kuitwa "X"...
Trump kaanzisha Mtandao Gani?
KwakwelUtafanya nini sasa lazima umiliki ili vitu vya kimataifa usikose[emoji3]
Sasa mitandao ni mingi mpaka haijulikani. Hiyo ilianza mwaka ganiIpo yaitwa Truth Social ...
Hatari tupuNa hata sasa x kuna video za porno sana tofauti na hapo swali.
Watumiaji wanaongezekaHuu mtandao unaenda kufa atajuta..😂