Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huu mtizamo ni wa wakubwa😀Ni mtizamo tu mndewa usiogope.
Mwendo wa X musk aliwaza mbali sana hako kaapp unakafungua huku ukiwa umejifunika koti ukiwa kwenye daladalaYule mshikaji anavuta Bangi na ukishakuwa na pesa nyingi lazima utafute changamoto! Sasa ndo anazitafuta..😂
Mmmmmh!😀😀Mimi napenda Kuangalia video za ‘X' za Viongozi wakubwa wakubwa kama Samia na Kikwete🤔🏃♂️
Inabidi tule mazoezi kuzoea hili😀Ndo hivyo tena Nilikuwa naangalia Post zake za X hapa...
Huu mtandao unaenda kufa atajuta..😂Mwendo wa X musk aliwaza mbali sana hako kaapp unakafungua huku ukiwa umejifunika koti ukiwa kwenye daladala
Umeona inavong'ata eeh, Hapo angefanya tu kutumia Red icon ❌ angeshamaliza mchezo.Mmmmmh!😀😀
Sasa hivi ngoma inasoma X sio Twitter tenaYaani nina siku nyingi sijaingia twitter sas juzi bhana nikataka nichungulie tena kule, sas mimi nagoogle twitter wenyewe wanaleta × sas nkahisi hyo ni scam, nkawa natafuta kwingine kila nkiandika wanaleta hvo hvo duu, kumbe bhana wamebadili
Jina limekaa kimkakati sana hata kaapp kake kana alama ya X daaah musk katu bananisha vilivyo😀Hili jina Hapana kwakwel ko ukipost kule umepost X🤣 na ukiangalia unaangalia X na unakua na Account ya X🤣
Huyu jamaa sijui ana malengo gani ? Maana hicho kijinaHuu mtandao unaenda kufa atajuta..😂
Lingekuwa varangatiUmeona inavong'ata eeh, Hapo angefanya tu kutumia Red icon ❌ angeshamaliza mchezo.
Kweli pesa bhana hatari sanaMtu na pesa zake, Banza Stone aliimba kwenye "Mtu pesa".
Anaweza siku moja akaamua kuufunga huo mtandao ni wake bwana.
Trump kaanzisha Mtandao Gani?Mwenye mali kaamua ndugu. Si waona trump kaanzisha wake? Wanasema raha jipe mwenyewe.
Kazi ipoHuyu jamaa sijui ana malengo gani ? Maana hicho kijina
Hatari tupuKazi ipo
Inawezekana maana akili ya yule bwana anaijua mwenyeweUsijekuta aliyemshauri ivyo ni mchepuko wake
TruthTrump kaanzisha Mtandao Gani?