Jina la ukoo lina nguvu kubwa sana kiroho

Hii
Hii kitu nilishaishuhudia live bila chenga, mtoto aliteseka sana baada ya mama yake kumuuza Kwa msela mwingne.
 
Watoto wa 5, mtoto wa nne sio wake alikubali kulea bao la mwanaume mwenzie. Huyo mtoto anatofautiana mambo mengi sana na ndugu zake wanne. Bado ujaelewa?
ahaaa kwahyo mkuu hapo ulitaka afanane na watoto wanne wa bao la mwanaume huyo huyo? Kutofautiana si kawaida mkuu sababu huyo si baba yake? Au utofauti gani ulikuwa unaamanisha mkuu?
 
ahaaa kwahyo mkuu hapo ulitaka afanane na watoto wanne wa bao la mwanaume huyo huyo? Kutofautiana si kawaida mkuu sababu huyo si baba yake? Au utofauti gani ulikuwa unaamanisha mkuu?
Tofauti za koo, huyo sio wa koo hiyo tabia zake ni za koo ya baba yake halisi.
 
Ila na hili la kuandika neno HOVYO badala ya OVYO limeshamiri sana humu jukwaani.
 
Ni uongo mtupu hakuna kitu kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…