Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Watoto wa 5, mtoto wa nne sio wake alikubali kulea bao la mwanaume mwenzie. Huyo mtoto anatofautiana mambo mengi sana na ndugu zake wanne. Bado ujaelewa?mmmh kila nikijaribu kusoma hichi kitu naambulia patupu hapa ulikuwa unasemaje mku?π
Huyo jamaa ni mgumu kuelewa alafu mwepesi kusahau. Yani akianza kusoma akifika katikati kasahau kwahiyo kulink na kuelewa kwake n ngumu.Mbona kaeleweka?
Hii kitu nilishaishuhudia live bila chenga, mtoto aliteseka sana baada ya mama yake kumuuza Kwa msela mwingne.Jina la ukoo lina nguvu sana. Jina la ukoo Sio jina kama unavyoliona. Ni damu ya uzao.
Hata kama umezaa na mtu na ukabadilisha jina la mtoto kisa baba yake HATOI matumizi au kisa umehangaika na MIMBA pekeako. Kumbuka damu ya mtoto NDIO imelala na jina hilo.
Vyote vinavyohusiana na mtoto huyo vitafanya kazi.
WAKATI MWINGINE mtoto anaweza kumbambika kwa baba MWINGINE ila ukoo wake unamkontrol kiroho.
Na ukoo Ukiwa na nguvu na mila za mizimu na kiroho BASI mtoto ATAKUWA na mambo ya HOVYO.
Kuumwa HOVYO.
Kulia HOVYO
Jeuri jeuri
Hakusikilizi
Yaani ukienda shuleni HOVYO Matokeo.
Kumbe damu ya baba inatembea mwilini.
Ndio maana kuna ukoo wanasema hatupotezi mtoto.
Hata umwite jina la kwenu na kumfuta baba yake au ukoo wake basi HIYO ni vita haitamuacha mbaka anakufa.
Wengine wanapotea potea KILA SIKU kisa jina na damu ya ukoo wa baba yake.
Hata vitabu vimekataa KUBADILISHA ukoo bila sababu ya Haki.
Mtoto unapeleka hospitali mbaka unachoka. Ila SIKU ukimpeleka kwa babu yake. BASI degedege linakata hapo hapo.
Ukoo au damu ya mtoto haikatwi milele. Utabadilisha jina tu ila damu ni ile ile na itafanya kazi.
ahaaa kwahyo mkuu hapo ulitaka afanane na watoto wanne wa bao la mwanaume huyo huyo? Kutofautiana si kawaida mkuu sababu huyo si baba yake? Au utofauti gani ulikuwa unaamanisha mkuu?Watoto wa 5, mtoto wa nne sio wake alikubali kulea bao la mwanaume mwenzie. Huyo mtoto anatofautiana mambo mengi sana na ndugu zake wanne. Bado ujaelewa?
Tofauti za koo, huyo sio wa koo hiyo tabia zake ni za koo ya baba yake halisi.ahaaa kwahyo mkuu hapo ulitaka afanane na watoto wanne wa bao la mwanaume huyo huyo? Kutofautiana si kawaida mkuu sababu huyo si baba yake? Au utofauti gani ulikuwa unaamanisha mkuu?
Toeni matunzo kwa watoto achanani na sera mtoto atamtafuta baba sawa wanaweza kuwatafuta ila kipindi washaharibikiwaBora umewaelekeza hawa wanawake
ehee ni jambo la kawaida kabisa, mimi nikajua labda ana mauza uza. Hata hivyo suala la Tabia linaweza kubadilika kutokana na mazingira na malezi.Tofauti za koo, huyo sio wa koo hiyo tabia zake ni za koo ya baba yake halisi.
Mauza uza pia ni miongoni mwa tabia za koo ya baba yake halisi.ehee ni jambo la kawaida kabisa, mimi nikajua labda ana mauza uza. Hata hivyo suala la Tabia linaweza kubadilika kutokana na mazingira na malezi.
embu nieleweshe mkuu?Kuna vitu vinarithi hata ukilelewa mazingira tofauti.
Hamna kitu, ni kukariri ujinga tu..Watakupinga ila yakiwafika watakutafuta uwape ushauri.
Ulimwengu sio kama tuudhaniavyo bali ulimwengu umeshikamana na wenye ufahamu tu na si vinginevyo
Pedigree and breedUkooo
Ni uongo mtupu hakuna kitu kama hichoJina la ukoo lina nguvu sana. Jina la ukoo Sio jina kama unavyoliona. Ni damu ya uzao.
Hata kama umezaa na mtu na ukabadilisha jina la mtoto kisa baba yake HATOI matumizi au kisa umehangaika na MIMBA pekeako. Kumbuka damu ya mtoto NDIO imelala na jina hilo.
Vyote vinavyohusiana na mtoto huyo vitafanya kazi.
WAKATI MWINGINE mtoto anaweza kumbambika kwa baba MWINGINE ila ukoo wake unamkontrol kiroho.
Na ukoo Ukiwa na nguvu na mila za mizimu na kiroho BASI mtoto ATAKUWA na mambo ya HOVYO.
Kuumwa HOVYO.
Kulia HOVYO
Jeuri jeuri
Hakusikilizi
Yaani ukienda shuleni HOVYO Matokeo.
Kumbe damu ya baba inatembea mwilini.
Ndio maana kuna ukoo wanasema hatupotezi mtoto.
Hata umwite jina la kwenu na kumfuta baba yake au ukoo wake basi HIYO ni vita haitamuacha mbaka anakufa.
Wengine wanapotea potea KILA SIKU kisa jina na damu ya ukoo wa baba yake.
Hata vitabu vimekataa KUBADILISHA ukoo bila sababu ya Haki.
Mtoto unapeleka hospitali mbaka unachoka. Ila SIKU ukimpeleka kwa babu yake. BASI degedege linakata hapo hapo.
Ukoo au damu ya mtoto haikatwi milele. Utabadilisha jina tu ila damu ni ile ile na itafanya kazi.
Hata huyo unayemuita Yesu atakuwa anakushangaaUongo. Damu ya Yesu ndio inanguvu kuliko majina tunayojipa. Ukifunikwa nayo hata uitwe jini maimuna bado majini yatakukimbia.
Unaishi maisha ya kiswahilihapo sasa yupo geto na tekno yake rafiki yake yupo nje na demu sasa ili aonekane yupo bize ngoja aandike ili apate watu wa kumchatisha huku akijichekesha aonekane na yeye ana demuπππ vijana watakufa
saww kovaUnaishi maisha ya kiswahili
Usiuumize kichwa, huyo ndiyo wale hadi leo hamjui baba yake halisi,ndiyo maana ana hasira na mleta maada!!Mbona kaeleweka?