Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #101
Nashukuru kwakuniita mkuu, huyu mzee mzandiki hana mfanowe....Yericko Nyerere njoo huku kwa mtani wako anakutafuta.
Amin ndugu yangu...Asante maalim Mohemed Said.
Allah akuweke tuzidi kunufaika na ilmu yako.
umemuekimisha vizuri sana,ila lazima atagoma kukuelewaUnajua mambo mengine bwana.....hakuna muhehe yoyote ambaye alimfahamu mkwawa kama sijui nani unayemsema wewe....kama alipewa hilo jina sikatai maana ni kweli alikuwa na urafiki na waarabu...lakini waarab walimkuta mkwawa ni mtu mzima na tayari kashakuwa mtwa...ndiyo jina la cheo chake kwa kihehe na si sultan kama unavyomuita wewe....kwahiyo kwa umri huo na cheo chake hakuna sehemu alipowatangazia wananchi zake kwamba kabadili jina..maana kubadili jina kwa muhehe wakati ule ilikuwa lazima ufanye tukio la kishujaa ndipo upewe ruhusa ya kujipa jina au kupewa jina....hata hilo jina la mkwawa alipewa akiwa kijana si la kuzaliwa nalo...hilo jina ni kifupisho cha jina mkwavinyika..yaani mtwaa nchi...hali kafhalika kwa songea mbano wanaandika jina lenye asili ya songea na kabila lake hayo ya kiarabu nayo pia ni matokeo ya ukoloni....ila ukoloni huo kwasababu ni wa kiarabu wewe huuoni kwasababu umepigwa upofu wa iman.....binafsi naona wako sawa kwasababu wameenziwa kwa majina yao haswa na si majina ya kigeni...wangekuwa waliitwa majina ya kizungu hapo ningekusaidia kulaumu
tajajina la hicho kitabuMengi yamejificha hayajulikani, hadi hii leo watu hawajui kama lile fuvu si la Mkwawa. Watafiti wenyewe waliweka shaka, ila walificha tu kwani aibu kwao kueleza wamezidiwa ujanja na mtu mweusi. Lile fuvu wajerumani walikata kichwa kwa kumkuta mtu aliyeangukia kwenye moto baada ya wao kusikia mlio wa risasi, sura haikujulikana maana iliharibika na moto.
Mkwawa alikuwa ni kichwa haswa kimbinu na kila namna, haitosahaulika alivyochukua bunduki ya mjerumani akaifumua na kuunda vifaa vinavyofanana kisha akafunga na kupata bunduki nyingine.
Yule aliyechukuliwa fuvu lake ni mlinzi wake na ndiye aliyekuwa naye mahali ambapo kulisikika mlio wa bunduki kwa mujibu wa kitabu kimoja, aliwachezea akili wajerumani. Eneo hilo hakuwa peke yake walikuwa watatu unaweza kuamini walinzi waliruhusu ajiue, au mlinzi mmoja alitoroka na kumwacha ajiue?
Eneo hilo miili ilikutwa miwili mmoja ndo uso uliangukia kwenye moto, mwingine ulijulikana wazi ni wa mlinzi mmojawapo naye hakuuawa na wajerumani sasa nani kamuua huyo mlinzi mwingine?
Hapo ndiyo utabaini wazungu walichezewa akili, wakaamua kuficha hii aibu
orodhesha vitabu ulivyosoma vyenye kuelezea kwamba alitoroka,punguza porojo wwSitokushangaa kuuliza hivyo, watanzania wengi ni wavivu wa kujisomea na pia kutafuta mambo. Kila kitu kipo wazi, ukikitafuta
kwa nn hujibu maswali yote?,jibu yote hasa hilo la ugaidi wahusika kuwa na majina ya Kiarabu,je ni sahihi kuwahusisha wao na dini ya Kiislamu kwa sababu ya majina yao?Juan...
Umeghadhibika na kutumia neno, ''upumbavu.''
Hii ni moja ya ibra ya historia hii kila inapoelezwa ghadhabu zinapanda.
Umesema mengi na sitoweza kukujibu yote.
Nina swali moja tu kwako.
Kwa nini historia hii inakukera?
Sorry,naomba unijuze,walipigania uhuru kama Waislamu ama kama Watanganyika?,na kama walipigania uhuru kwa mwamvuli wa dini yao nini yalikuwa malengo yao baada ya uhuru kupatikana?Mtemikwilla,
Kilichonifanya nitaje Uislam ni kuwa baada ya uhuru zilifanyika jitihadi
ya kuifuta historia ya Uislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Kwa ajili hii nikaamua kufanya kuiandika ili watu waamue nani mkweli
kati ya historia rasmi iliyoandikwa na Chuo Cha Kivukoni ipi ya kweli
ipi ya uongo:
Unajua mambo mengine bwana.....hakuna muhehe yoyote ambaye alimfahamu mkwawa kama sijui nani unayemsema wewe....kama alipewa hilo jina sikatai maana ni kweli alikuwa na urafiki na waarabu...lakini waarab walimkuta mkwawa ni mtu mzima na tayari kashakuwa mtwa...ndiyo jina la cheo chake kwa kihehe na si sultan kama unavyomuita wewe....kwahiyo kwa umri huo na cheo chake hakuna sehemu alipowatangazia wananchi zake kwamba kabadili jina..maana kubadili jina kwa muhehe wakati ule ilikuwa lazima ufanye tukio la kishujaa ndipo upewe ruhusa ya kujipa jina au kupewa jina....hata hilo jina la mkwawa alipewa akiwa kijana si la kuzaliwa nalo...hilo jina ni kifupisho cha jina mkwavinyika..yaani mtwaa nchi...hali kafhalika kwa songea mbano wanaandika jina lenye asili ya songea na kabila lake hayo ya kiarabu nayo pia ni matokeo ya ukoloni....ila ukoloni huo kwasababu ni wa kiarabu wewe huuoni kwasababu umepigwa upofu wa iman.....binafsi naona wako sawa kwasababu wameenziwa kwa majina yao haswa na si majina ya kigeni...wangekuwa waliitwa majina ya kizungu hapo ningekusaidia kulaumu