Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #101
Mtanganyika...
Ghadhabu haziweki mjadala wa tija zaidi zinatanguliza kuitana majina, kukashifiana na kejeli.
Muhimu hapo ilikuwa kusema lolote kuhusu hayo yaliyoandikwa na Ilunga.
Hayo mengine ni maneno ambayo hakika umeyaandika kwa hasira hivyo sitayapatiliza.
Ghadhabu haziweki mjadala wa tija zaidi zinatanguliza kuitana majina, kukashifiana na kejeli.
Muhimu hapo ilikuwa kusema lolote kuhusu hayo yaliyoandikwa na Ilunga.
Hayo mengine ni maneno ambayo hakika umeyaandika kwa hasira hivyo sitayapatiliza.