Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Mpwa wangu umenikumbuka... Basi ukimaliza chuo nitafute ππππππAnko ukipunguza ukorofi zile pisi za humu utazipata mbona....
Shida ukorofi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa wangu umenikumbuka... Basi ukimaliza chuo nitafute ππππππAnko ukipunguza ukorofi zile pisi za humu utazipata mbona....
Shida ukorofi.
Wewe ni mdada au mkakaπππππJina langu Kwa kifupi na shose nikijaaliwa kupata mtoto ndo jina lake
Nimeelewa kwa nini una vielement vya kutoamini kuhusu hizi imani zetu.Hili ni jina langu halisi kabisa ,mama yangu mzazi aliniambia alinipa jina hilo siku nimezaliwa na dokta alie msaidia alikua ni mkorea alikua na jina hilo, akaamua tu na mimi niitwe hivyo kutokana na ukarimu wake kwake ephen_ ππ.
Nafanana na aliye ktk avatar muonekano, uongeaji na vituko sema tu yy ni mfupi mm ni mrefuWe jamaa unanivunjaga mbavu sana! Yaani nikitazama na hiyo Avatar pamoja na vituko vyako... Navutaga picha kabisa kwamba huyu ni Ringo Macintosh ππππ
πππ wala sio hivyo mkuu angekuwepo ningejua tu moja kwa moja wala isingehitajika kuamini bro.πNimeelewa kwa nini una vielement vya kutoamini kuhusu hizi imani zetu.
Kweli mkuu uzaliwe nyumbani au zahanati na jina lako ni yohana. Halafu usiamini kama Mungu yupo πππ
MdadaWewe ni mdada au mkakaπππππ
Ewaaaaaa safi sanaπ€Mdada
Tuachane nayo tu hayo kijana wangu. We bado ni mtoto sana.Nini kilitokea hebu ninong'onezeπ
Bila shaka hauishi tandahimba au namanyere maan hizi ni mindset za wazee wa diaspora wetu wa USA π..πππ wala sio hivyo mkuu angekuwepo ningejua tu moja kwa moja wala isingehitajika kuamini bro.π
Alianza babu kunyofoa mipaka ya hizo tawala, then nikaendeleza alipoishiaBuyeo na Han ziliendeleaje pehaππ
Uligonganisha watu vichwa nini? Pisi kaliπTuachane nayo tu hayo kijana wangu. We bado ni mtoto sana.
Huyo hapo kwenye avatar yako ni mnyama gani??Nawaita malaika wangu walipe jibu maana hili jina langu ni la mdingi, mwamba mwenyewe baba wa Shazi, Shazi Wadiz ndio mie
Sifanyagi upuuzi mdogo kama huoUligonganisha watu vichwa nini? Pisi kaliπ
Hapana mkuu naishi sumbawanga bro.Bila shaka hauishi tandahimba au namanyere maan hizi ni mindset za wazee wa diaspora wetu wa USA π..
Hata hivyo, kama upo content na ulivyo. Fresh tu min me βπ½βπ½
Kwani wewe ni mwanaccm?Hilo halipingiki
ukiidraft vizuri utapiga hela mtaani.Hili jina GAMIC baadhi ya watu huwa wanalitafsiri kwa kuchanganya kwamba napenda michezo kama Simba na Yanga , sivyo ilivyo .
GAMIC ni jina nililolitunga mwenyewe kwa kuunganisha jina langu ( GA ) , mind ( MI ) na clinic ( C ) kumaanisha kliniki ya akili yangu niliyopewa na Mwenyezi-Mungu . Na nina kipimo cha siri ambacho huwa natumia kuipima akili yangu wakati ninapokuwa kwenye kliniki binafsi .