Jina lako hapa Jukwaani lina maana gani?

Jina lako hapa Jukwaani lina maana gani?

Ni kocha ninae mkubali sana hasa Falsafa zake.


Hata boli napenda na hua nimuumini wa pira la kugusa mara moja sio chenga za anakwenda.
Fala yule anajua boli hatari.
Mie ananifurahiahaga tuu pale ligi imebakiza mechi 12 iishe alafu yeye yupo nafasi ya pili.
Ebwana wee....atapiga game kumi au kumi na moja yeyey anatoa vipigo tuu hadi raha.
 
Wakuu habari zenu?... Moja kwa moja kwenye mada. Hebu tufunguke hapa majina yetu yakificho hapa jukwaani Yana maana gani.

Mimi jina langu TANO BORA nikwasababu siku najisajili Jamiiforum ndo siku ambayo chama cha mapinduzi,CCM kilitoa majina ya mchujo kupata TANO Bora ya mgombea uraisi mwaka 2015.

JE WEWE JINA LAKO FICHE HAPA JAMIIFORUM LINATOKANA NA NINI?
Ki intelijensia, kama mimi natafuta utambulisho wako halisia kwa muda mrefu na cjafanikiwa kupata, naweza kukuchimba kupitia swali kama hili linaloonekana kuwa la mzaha lakini nikapata vidokezo vya kuendelea kukujua wewe kwa utambulisho wako halisia.

Na baada ya hapo lolote linawezekana. Kumbuka JF na wanajukwaa wake wengi wako kwenye WANTED LIST ya watu wasiojulikana kutafutwa na wasiojulikana official 🤔🤔🤔🤔

Kwaiyo Uzi huu unaweza kuwa Uzi mzuri kama Uzi mwingine wowote ila unaweza ukawa mtego kwetu vilevile au ukatumiwa na wenye Nia ovu kupitia maana ya majina Fiche yetu.

Kuwa makini.
 
Wakuu habari zenu?... Moja kwa moja kwenye mada. Hebu tufunguke hapa majina yetu yakificho hapa jukwaani Yana maana gani.

Mimi jina langu TANO BORA nikwasababu siku najisajili Jamiiforum ndo siku ambayo chama cha mapinduzi,CCM kilitoa majina ya mchujo kupata TANO Bora ya mgombea uraisi mwaka 2015.

JE WEWE JINA LAKO FICHE HAPA JAMIIFORUM LINATOKANA NA NINI?
Mnafiki Wa Kujitegemea.
Sina na sifanyi unafiki kwa ajili ya kumnufaisha mwingine . Na ni vigumu kuninafikia.
Sitaki unafiki.
 
Kijana acha mikwara wewe ukihitajika utapatikana katika muda wanaotaka wao, most wanted kwa lipi?
Mkwara??? Toka umepigwa mikwara 😂 umewahi ogopa au kuacha ulichotaka kukifanya?

Mkwara wangu mimi kama nani hata nikutishe wewe? Hapa tutashirikishana maarifa na uzoefu ukiona yanakufaa unachukua unatumiwa maishani au hayakufai piga chini pita hivi 🤐🤐🤐

Kama unanihitaji anza wewe kunitafuta, au wapelekee faili langu.

Huoni kama kila kiongozi anatembelea Ofisi za JF sikuiz tofauti na zamani.?

Hukusikia baadhi ya viongozi wanasema JF ifungwe???
 
Back
Top Bottom