Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni double mamaSawa... Kwahiyo vipi?
We ni single Mama?... Kabla hujajibu, niko tayari nikuoe wewe na mwanao
Yah nakumbuka kipindi tunaishi Goguryeo.🤝Mfalme wa tatu wa taifa la KOGURYEO aliyeitwa DAEMUSIN.
Jina na wewe vinaendana, subiri nikakuchungulieHili ni jina langu halisi kabisa ,mama yangu mzazi aliniambia alinipa jina hilo siku nimezaliwa na dokta alie msaidia alikua ni mkorea alikua na jina hilo, akaamua tu na mimi niitwe hivyo kutokana na ukarimu wake kwake ephen_ 😊😊.

Wapi kuna kazi mzeya nami nije saidia fundi nipate buku 10mm ni bishoo afu saidia fundi pia
Fala yule anajua boli hatari.Ni kocha ninae mkubali sana hasa Falsafa zake.
Hata boli napenda na hua nimuumini wa pira la kugusa mara moja sio chenga za anakwenda.
Jina lako vipi?Jina na wewe vinaendana, subiri nikakuchungulie![]()
Ki intelijensia, kama mimi natafuta utambulisho wako halisia kwa muda mrefu na cjafanikiwa kupata, naweza kukuchimba kupitia swali kama hili linaloonekana kuwa la mzaha lakini nikapata vidokezo vya kuendelea kukujua wewe kwa utambulisho wako halisia.Wakuu habari zenu?... Moja kwa moja kwenye mada. Hebu tufunguke hapa majina yetu yakificho hapa jukwaani Yana maana gani.
Mimi jina langu TANO BORA nikwasababu siku najisajili Jamiiforum ndo siku ambayo chama cha mapinduzi,CCM kilitoa majina ya mchujo kupata TANO Bora ya mgombea uraisi mwaka 2015.
JE WEWE JINA LAKO FICHE HAPA JAMIIFORUM LINATOKANA NA NINI?
Poa! Maombi natuma wapi?Mimi ni double mama
Aroo nyie gen Z punguzeni speed basiPoa! Maombi natuma wapi?
Mnafiki Wa Kujitegemea.Wakuu habari zenu?... Moja kwa moja kwenye mada. Hebu tufunguke hapa majina yetu yakificho hapa jukwaani Yana maana gani.
Mimi jina langu TANO BORA nikwasababu siku najisajili Jamiiforum ndo siku ambayo chama cha mapinduzi,CCM kilitoa majina ya mchujo kupata TANO Bora ya mgombea uraisi mwaka 2015.
JE WEWE JINA LAKO FICHE HAPA JAMIIFORUM LINATOKANA NA NINI?
Kijana acha mikwara wewe ukihitajika utapatikana katika muda wanaotaka wao, most wanted kwa lipi?JF na wanajukwaa wake wengi wako kwenye WANTED LIST ya watu wasiojulikana kutafutwa na wasiojulikana official 🤔🤔🤔🤔
Mkwara??? Toka umepigwa mikwara 😂 umewahi ogopa au kuacha ulichotaka kukifanya?Kijana acha mikwara wewe ukihitajika utapatikana katika muda wanaotaka wao, most wanted kwa lipi?