Jina lako hapa Jukwaani lina maana gani?

Jina lako hapa Jukwaani lina maana gani?

Mkwara??? Toka umepigwa mikwara 😂 umewahi ogopa au kuacha ulichotaka kukifanya?

Mkwara wangu mimi kama nani hata nikutishe wewe? Hapa tutashirikishana maarifa na uzoefu ukiona yanakufaa unachukua unatumiwa maishani au hayakufai piga chini pita hivi 🤐🤐🤐

Kama unanihitaji anza wewe kunitafuta, au wapelekee faili langu.

Huoni kama kila kiongozi anatembelea Ofisi za JF sikuiz tofauti na zamani.?

Hukusikia baadhi ya viongozi wanasema JF ifungwe???
We vinjari bn hamna most wanted humu acha kutengeneza dhana hasi kichwani mwako
 
GSY2ZwAWwAAXivk.jpg
 
🤣🤣🤣 Hii ni kweliii

Kuna jinga moja lilinifanya nipigwe ban ya 2 weeks juzi kati ila kwa huu mwangaza nikaachiliwa after 2 days😂
Kheee achiliaa moto!!
Fire fireeeeee
🤣🤣🤣 Ila we tanga tanga waje waifunge tela na kule
 
Mambo Jambo
Its From Mumbo Jumbo which inatamkwa Mambo jambo...
So Dr Ni my Proffesional legacy while Mumbo Jumbo its something that Doesnt Add Up..

Mumbo jumbo, Mambo Jambo or mumbo-jumbo, is confusing or meaningless language.

The phrase is often used to express humorous criticism of middle-management, and specialty jargon, such as legalese, that non-specialists have difficulty in understanding.

For example, "I don't understand all that legal mumbo jumbo in the fine print."
 
Back
Top Bottom