Acha kabisa huyo lecturer umenikumbusha mbaliFrom my Trible...
From my lecturer aliyenipiga sup za kutosha
Alinitesa mpuusi yule
Sasa huo ni ukorofi auntie🤣🤣🤣Nakataaa auntie [emoji23]
Auntie acha niwe mkorofi tu [emoji23] ila nakataaaaSasa huo ni ukorofi auntie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi sawa, na mbichwa wako kama wa kikuu.Auntie acha niwe mkorofi tu [emoji23] ila nakataaaa
[emoji23] hivi nani kamteka jamani watu wamepoteaBasi sawa, na mbichwa wako kama wa kikuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kabisa huyo lecturer umenikumbusha mbali
Na auntie yako nae sijui kapata mstaafu wa wapi🙆🙆🙆[emoji23] hivi nani kamteka jamani watu wamepotea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku zote nimekuwa wa mwisho kuelewa mambo
Hivyo hulazimika kujifunza taratibu ili niweze kuelewa [emoji848]
KabisaBora umekuwa mzalendo wa lugha ya kiswahili
Auntie kwaresma inambana mpaka namwambia mbona wote tunafunga unapotea hivi jamaniNa auntie yako nae sijui kapata mstaafu wa wapi[emoji134][emoji134][emoji134]
Alipotea kabla ya kwaresma bwana!!Auntie kwaresma inambana mpaka namwambia mbona wote tunafunga unapotea hivi jamani
Hahhaha sijui nani naye kamtekaAlipotea kabla ya kwaresma bwana!!
Kuna mstaafu wa watu anatapeliwa huko🤣🤣Hahhaha sijui nani naye kamteka
Alikueleza ni kwa Nini hawatumii majina halisi [emoji16]Sayoo , halina maana yeyote aisee
Nakumbuka pindi nacreate account jf , nilitaka kutumia jina langu halisi ,
Kuna jamaa yangu mmoja yupo hum , akanikataza kua hum jf hua hawatumii majina yao halisi hapo hapo nikabadili
Nikajikuta nimesema " say ooooooo"
Nikapata sayoo