Kifupi Afrika hatuna heshima na individual. Yani kila kitu unapangiwa na jamii.Kiranga African mentality na umasikini Wa mawazo na fikra Ndo hufanya watu waamini bila kuoa au kuolewa baasi me au ke ana shida na jamii zetu kuchukulia hao watu ndivyo sivyo
jibu zuri sana hili. umeongea kwa maturity ya hali ya juu sanaKm umevuka kwenye hayo maeneo, mshukuru Mungu , ombea uzao wako!
Thus it!
Hii issue ipo kiroho zaidi ya sbb za kawaida tunazoziona!
Talk Abt kuolewa, wanaume wenyewe wako wapi?
Namaanisha wanaume ambao wanaojielewa na kusimama km mababa,wako wapi?
Tuna marioo kibao, Bado mashoga, mateja, jobless,ambao wanajitafuta!
Bado ambao wameoa wakakutana na wanawake Vimeo ,waliotoka salama na kuoa Tena wachache,wengi wamejeruhiwa wamepoteza dira kabisa!
Mkuu ombea uzao wako na watt wa wengine sbb mwisho wa siku watt wako watatakiwa kuoa/kuolewa!
Sio kusema wanaipatapata Bado tunaishi!
Kanisani ndo unaambiwa hivi?
ngoja tumalizie vuna embe tutarudi full time kama zamani mnywani
dah!! nimeona hajafungua kafekero bado.
Mwambie chino naye anaamua kujilisha ban
๐ค ๐ค ๐ค ๐ค ๐ค ๐คAsante Kwa kututukana boss.
Umenena vyema..Yaa
Sa hii Huwa inategemea inaweza kuwa spiritual husband Kwa mwanamke/wife Kwa mwanaume na wanakuja na sura tofauti tofauti!
It's spiritual thing!
Na hua inatokana na covenant zilizofanyika kwenye generation zilizotangulia huko kwenye Koo/familia....
Au wengine mtu anakuongilia Kwa njia hiyo ,Kuna kesi,mdada alikataa kuolewa mke wa pili sijui wa 3 ,yule mwanaume akawa anamtembelea Kwa style huu akilala....
Ni elimu pana ....
Shida sio kuolewa, ni kutaka kuolewa.Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?
Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Basi kama ni hivyo basi wanaume wa Sasa wanajielewa kuliko wa zamani maana kwasasa wanaume wengi wapo karibu na familia kuliko hata wa zamaniBasi husomi mkuu
Nishaekezea
Kuwa baba ni zaidi ya kutoa Hela
๐ค๐ค๐ค๐jibu zuri sana hili. umeongea kwa maturity ya hali ya juu sana
Labda huko kwenu mkuuBasi kama ni hivyo basi wanaume wa Sasa wanajielewa kuliko wa zamani maana kwasasa wanaume wengi wapo karibu na familia kuliko hata wa zamani
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃShida sio kuolewa, ni kutaka kuolewa.
Jombii usiombe ukutane na mwanamke anahitaji kati ya hizo mbili bablai. Unaweza ukagandwa akihisi wewe ndo jasiri muokozi.
Anaweza toa sadaka ya shukurani kabisa kanisani.
Mi nikimsoma kama ana baby fever au shaukunya ndoa nakimbia mita mia nane ndo nageuka nyuma.
Kwasasa ni kawaida kukuta mwanaume kaongozana na Binti zake out wakati wanaume wa zamani walikuwa wanaona kuwa karibu na watoto hasa wa kike ni swala la kinamamaLabda huko kwenu mkuu
Hongereni!
Shida sio kuolewa, ni kutaka kuolewa.
Jombii usiombe ukutane na mwanamke anahitaji kati ya hizo mbili bablai. Unaweza ukagandwa akihisi wewe ndo jasiri muokozi.
Anaweza toa sadaka ya shukurani kabisa kanisani.
Mi nikimsoma kama ana baby fever au shaukunya ndoa nakimbia mita mia nane ndo nageuka nyuma.
Hawa watakuwa ni "Wagonjwa". Usiwasifie. Elewa neno "Ugonjwa"Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?
Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Kila kitu kina kiasi ukiona anatumia nguvu kubwa kuinjoi ujue anaficha maumivu yasiyo onekana.....Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?
Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Hata wakiwa wagonjwa ni haki yao kuamua waishi vipi.Hawa watakuwa ni "Wagonjwa". Usiwasifie. Elewa neno "Ugonjwa"
Hata akitumia nguvu kubwa kuficha maumivu yasiyo onekana kweli.Kila kitu kina kiasi ukiona anatumia nguvu kubwa kuinjoi ujue anaficha maumivu yasiyo onekana.....
Hata wewe unashida kwani mm nimesema kunatatizo.... Shida ushazoea ligiHata akitumia nguvu kubwa kuficha maumivu yasiyo onekana kweli.
Ni maisha yaje, muache aishi anavyotaka.
Tatizo lako ni nini?
๐๐๐๐๐๐!Ulishuhudia kitu gani , kuna kipndi nilikua natafuta nyumba ya kukaa kwa mda fulani eneo fulani kama miezi 6 iv , nilipata nyumba nzuri ila nikapewa story za kitaa hiyo nyumba ina majini , watu wanapigwa usiku , niliichukua nione hayo majini , nakupunguziwa bei kabisa kwa sababu haikua na wateja.
Nilikaa pale hakuna chochote ila ule mtaa walikua wananiogopa mno wakihisi mimi ni jini, kukazia zaidi nikawa natupia na kanzu kabisa.