Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Kiranga African mentality na umasikini Wa mawazo na fikra Ndo hufanya watu waamini bila kuoa au kuolewa baasi me au ke ana shida na jamii zetu kuchukulia hao watu ndivyo sivyo
Kifupi Afrika hatuna heshima na individual. Yani kila kitu unapangiwa na jamii.

Yani mtu unaweza kujijua mimi nina matatizo ya afya ya akili, na matatizo haya ni ya genetic, nikizaa watoto wangu nitawarithisha kichaa changu.

Ukaamua usiolewe wala kuzaa. Kwa sababu za kimaadili hutaki watoto wazaliwe na ugonjwa wa akili.

Atakuja mtu hata hakujui anakushangaa kwa nini huzai. Maswali kibao. Assumptions kibao.

Ndiyo maana hatuendelei.
 
Km umevuka kwenye hayo maeneo, mshukuru Mungu , ombea uzao wako!
Thus it!

Hii issue ipo kiroho zaidi ya sbb za kawaida tunazoziona!

Talk Abt kuolewa, wanaume wenyewe wako wapi?
Namaanisha wanaume ambao wanaojielewa na kusimama km mababa,wako wapi?
Tuna marioo kibao, Bado mashoga, mateja, jobless,ambao wanajitafuta!
Bado ambao wameoa wakakutana na wanawake Vimeo ,waliotoka salama na kuoa Tena wachache,wengi wamejeruhiwa wamepoteza dira kabisa!

Mkuu ombea uzao wako na watt wa wengine sbb mwisho wa siku watt wako watatakiwa kuoa/kuolewa!

Sio kusema wanaipatapata Bado tunaishi!
jibu zuri sana hili. umeongea kwa maturity ya hali ya juu sana
 
Yaa
Sa hii Huwa inategemea inaweza kuwa spiritual husband Kwa mwanamke/wife Kwa mwanaume na wanakuja na sura tofauti tofauti!
It's spiritual thing!

Na hua inatokana na covenant zilizofanyika kwenye generation zilizotangulia huko kwenye Koo/familia....
Au wengine mtu anakuongilia Kwa njia hiyo ,Kuna kesi,mdada alikataa kuolewa mke wa pili sijui wa 3 ,yule mwanaume akawa anamtembelea Kwa style huu akilala....

Ni elimu pana ....
Umenena vyema..
Hakika Ni elimu pana sana mama pasta
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Shida sio kuolewa, ni kutaka kuolewa.
Jombii usiombe ukutane na mwanamke anahitaji kati ya hizo mbili bablai. Unaweza ukagandwa akihisi wewe ndo jasiri muokozi.
Anaweza toa sadaka ya shukurani kabisa kanisani.
Mi nikimsoma kama ana baby fever au shaukunya ndoa nakimbia mita mia nane ndo nageuka nyuma.
 
Shida sio kuolewa, ni kutaka kuolewa.
Jombii usiombe ukutane na mwanamke anahitaji kati ya hizo mbili bablai. Unaweza ukagandwa akihisi wewe ndo jasiri muokozi.
Anaweza toa sadaka ya shukurani kabisa kanisani.
Mi nikimsoma kama ana baby fever au shaukunya ndoa nakimbia mita mia nane ndo nageuka nyuma.
🤣🤣🤣🤣
 
Shida sio kuolewa, ni kutaka kuolewa.
Jombii usiombe ukutane na mwanamke anahitaji kati ya hizo mbili bablai. Unaweza ukagandwa akihisi wewe ndo jasiri muokozi.
Anaweza toa sadaka ya shukurani kabisa kanisani.
Mi nikimsoma kama ana baby fever au shaukunya ndoa nakimbia mita mia nane ndo nageuka nyuma.

Sasa kwa nini tunawanyanyapaa kama kutaka kuolewa na kuwa na mtoto ni kitu kibaya?

Halafu wakikosa au wasipotaka kuolewa na kuwa na mtoto, napo tunawanyanyapaa kama kuwa hivyo ni kitu kibaya?
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Hawa watakuwa ni "Wagonjwa". Usiwasifie. Elewa neno "Ugonjwa"
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Kila kitu kina kiasi ukiona anatumia nguvu kubwa kuinjoi ujue anaficha maumivu yasiyo onekana.....
 
Hawa watakuwa ni "Wagonjwa". Usiwasifie. Elewa neno "Ugonjwa"
Hata wakiwa wagonjwa ni haki yao kuamua waishi vipi.

Usiwanyanyapae kwa ugonjwa.

Pengine kuna wengine wanaamua kuwa hivyo kwa kujua wana magonjwa ya kurithisha na hawataki kuzaa watoto watakaorithi magonjwa hayo, for ethical reasons.

Sasa hapo tatizo lako liko wapi mtu akijiamulia hivyo?
 
Kila kitu kina kiasi ukiona anatumia nguvu kubwa kuinjoi ujue anaficha maumivu yasiyo onekana.....
Hata akitumia nguvu kubwa kuficha maumivu yasiyo onekana kweli.

Ni maisha yaje, muache aishi anavyotaka.

Tatizo lako ni nini?
 
Ulishuhudia kitu gani , kuna kipndi nilikua natafuta nyumba ya kukaa kwa mda fulani eneo fulani kama miezi 6 iv , nilipata nyumba nzuri ila nikapewa story za kitaa hiyo nyumba ina majini , watu wanapigwa usiku , niliichukua nione hayo majini , nakupunguziwa bei kabisa kwa sababu haikua na wateja.

Nilikaa pale hakuna chochote ila ule mtaa walikua wananiogopa mno wakihisi mimi ni jini, kukazia zaidi nikawa natupia na kanzu kabisa.
😂😂😂😂😂😂!
Weee noumaaa! Ulitishaa🤠!

Kuna watu damu/ nyota zao kali sana haziwezi dhuriwa nahayo madude kivovote vile!
 
Back
Top Bottom