Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Wacha kushirikisha uchawi na vitu vya ajabu.

Uchome misindano ya kuzuia mimba mara mavidonge Leo uje kusingizia uchawi.

Uchawi uheshimiwe wengine ndio unatuweka mjini.
 
Jinamizi la kutozaa au kuchelewa limekumba wanawake wanakipatapata..
Km umevuka kwenye hayo maeneo, mshukuru Mungu , ombea uzao wako!
Thus it!

Hii issue ipo kiroho zaidi ya sbb za kawaida tunazoziona!

Talk Abt kuolewa, wanaume wenyewe wako wapi?
Namaanisha wanaume ambao wanaojielewa na kusimama km mababa,wako wapi?
Tuna marioo kibao, Bado mashoga, mateja, jobless,ambao wanajitafuta!
Bado ambao wameoa wakakutana na wanawake Vimeo ,waliotoka salama na kuoa Tena wachache,wengi wamejeruhiwa wamepoteza dira kabisa!

Mkuu ombea uzao wako na watt wa wengine sbb mwisho wa siku watt wako watatakiwa kuoa/kuolewa!

Sio kusema wanaipatapata Bado tunaishi!
 
Swala ugumba bahati mbaya limekuwa likiangaliwa kwa wanawake tu, ila wanaume pia wanasumbuliwa na hili na linaongezeka sana.

Kama mwanaume na mwanamke mko kwenye mauhuisiano kwa muda usiopungua miezi 12 hamtumii condom wala vijiti na hakuna mimba, ujue mmoja wenu ana tatatizo la ugumba.

Mfano yule msanii anaitwa Jux, nimekuja kujua kupitia humu ndani kuwa alikaa na vanesa mdee miaka 7, ila alipoachana nae Vanesa amepata ujauzito na ana watoto 2 na sasa Jux yuko na mwanamke mwingine kwa muda sasa ila bado hajafanikiwa kutia mimba, akija kuachana na Huyu mwanamke naye atashikishwa mimba
 
Wamezidi kuchagua chagua kama karanga
 
🀝🀝🀝
Mkuu huku Afrika ni issue ndo maana naona Bora nikaishi mbele huko ambako mtu anaishi anavyotakaπŸ˜‚

Watu wamekariri maisha
Huko Afrika watu wanakupangia maisha yako wewe mwenyewe uishi vipi.

Yani mtu anakupangia uolewe na uzae, hata hajui sababu zako za kuishi unavyoishi ni zipi.
 
Sasa mtoto wa uzeeni wa nini au ndo wasemavyo wazungu better late than never [emoji3]
 
Detailed πŸ‘πŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…