Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Kama kuna mambo ambayo yamekuwa ya yakiwatesa na kuwasumbua wanawake ni kuchelewa kuolewa na kuchelewa kuzaa.

Tukianza na hili jinamizi la kuchelewa kuolewa limekuwa tatizo kwa baadhi ya wanawake na mpaka basi.

Wengine wanafikia hatua ya kutafuta wanaume hata wa kuishi nao ili tu wafiche hiyo aibu ya kuchelewa kuolewa.

Hii ya kutafuta wanaume wa kuishi nao inaitwa sogea tukae au uchumba sugu.

Kuna wanaotafuta vijana na kuwaoa ili tu kuondoka na jinamizi la kuchelewa kuolewa na wanaume.

Achana na hilo jinamizi linalowachelewesha wanawake kuolewa, twende kwa wale ambao wanaolewa ila wanachelewa kuzaa yaani kupata watoto.

Jinamizi hili limekuwa gumzo huko duniani yaani wanawake wanavizazi ila hawashiki mimba, wanakipima hawana tatizo.

Pia kuna wale wanawake ambao wanamatatizo ambayo ni ya kujitakia wao wenyewe wanajua walivyokula ujana wao.

Yaani wanawake hao walikaanga mayai yao na kwa bahati mbaya wakayaunguza kwa kutoa mimba, hivyo hawakuweza kuyala yaani kuzaa watoto.

Kuna wanawake wengine matatizo yanatoka na uchawi/ Mizimu na uganga.

Wanawake hawa wanakuwa wanao uzazi ila uzazi wao umefungwa kwa vifungo vya nguvu za giza hivyo hawawezi kuzaa.

Vifungo hivi vya wanawake vimekuwa vinatofautiana maana wengine ni uchawi wa ndugu au wazazi au jirani hata rafiki.

Kuna wanawake ambao mizimu ya upande wa mama au baba inakuwa inawazuia wanawake kupata watoto kutokana na agano waliloingia ukoo wao.

Kuna wanawake ambao ambao wengine wamefungwa na uganga, inaweza kuwa ni chuki ya ndugu marafiki hata jirani.

Hayo ni baadhi ya majinamizi yanaoyowakumba wanawake kuchelewa kuzaa na kufikia kuteseka sana.

NB: Kuna wanachelewa kuzaa au kuolewa kwakuwa wakati wa Mungu bado.


Kwa Yesu yote yanawezekana...




Donatila
Wacha kushirikisha uchawi na vitu vya ajabu.

Uchome misindano ya kuzuia mimba mara mavidonge Leo uje kusingizia uchawi.

Uchawi uheshimiwe wengine ndio unatuweka mjini.
 
Jinamizi la kutozaa au kuchelewa limekumba wanawake wanakipatapata..
Km umevuka kwenye hayo maeneo, mshukuru Mungu , ombea uzao wako!
Thus it!

Hii issue ipo kiroho zaidi ya sbb za kawaida tunazoziona!

Talk Abt kuolewa, wanaume wenyewe wako wapi?
Namaanisha wanaume ambao wanaojielewa na kusimama km mababa,wako wapi?
Tuna marioo kibao, Bado mashoga, mateja, jobless,ambao wanajitafuta!
Bado ambao wameoa wakakutana na wanawake Vimeo ,waliotoka salama na kuoa Tena wachache,wengi wamejeruhiwa wamepoteza dira kabisa!

Mkuu ombea uzao wako na watt wa wengine sbb mwisho wa siku watt wako watatakiwa kuoa/kuolewa!

Sio kusema wanaipatapata Bado tunaishi!
 
Swala ugumba bahati mbaya limekuwa likiangaliwa kwa wanawake tu, ila wanaume pia wanasumbuliwa na hili na linaongezeka sana.

Kama mwanaume na mwanamke mko kwenye mauhuisiano kwa muda usiopungua miezi 12 hamtumii condom wala vijiti na hakuna mimba, ujue mmoja wenu ana tatatizo la ugumba.

Mfano yule msanii anaitwa Jux, nimekuja kujua kupitia humu ndani kuwa alikaa na vanesa mdee miaka 7, ila alipoachana nae Vanesa amepata ujauzito na ana watoto 2 na sasa Jux yuko na mwanamke mwingine kwa muda sasa ila bado hajafanikiwa kutia mimba, akija kuachana na Huyu mwanamke naye atashikishwa mimba
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Kama kuna mambo ambayo yamekuwa ya yakiwatesa na kuwasumbua wanawake ni kuchelewa kuolewa na kuchelewa kuzaa.

Tukianza na hili jinamizi la kuchelewa kuolewa limekuwa tatizo kwa baadhi ya wanawake na mpaka basi.

Wengine wanafikia hatua ya kutafuta wanaume hata wa kuishi nao ili tu wafiche hiyo aibu ya kuchelewa kuolewa.

Hii ya kutafuta wanaume wa kuishi nao inaitwa sogea tukae au uchumba sugu.

Kuna wanaotafuta vijana na kuwaoa ili tu kuondoka na jinamizi la kuchelewa kuolewa na wanaume.

Achana na hilo jinamizi linalowachelewesha wanawake kuolewa, twende kwa wale ambao wanaolewa ila wanachelewa kuzaa yaani kupata watoto.

Jinamizi hili limekuwa gumzo huko duniani yaani wanawake wanavizazi ila hawashiki mimba, wanakipima hawana tatizo.

Pia kuna wale wanawake ambao wanamatatizo ambayo ni ya kujitakia wao wenyewe wanajua walivyokula ujana wao.

Yaani wanawake hao walikaanga mayai yao na kwa bahati mbaya wakayaunguza kwa kutoa mimba, hivyo hawakuweza kuyala yaani kuzaa watoto.

Kuna wanawake wengine matatizo yanatoka na uchawi/ Mizimu na uganga.

Wanawake hawa wanakuwa wanao uzazi ila uzazi wao umefungwa kwa vifungo vya nguvu za giza hivyo hawawezi kuzaa.

Vifungo hivi vya wanawake vimekuwa vinatofautiana maana wengine ni uchawi wa ndugu au wazazi au jirani hata rafiki.

Kuna wanawake ambao mizimu ya upande wa mama au baba inakuwa inawazuia wanawake kupata watoto kutokana na agano waliloingia ukoo wao.

Kuna wanawake ambao ambao wengine wamefungwa na uganga, inaweza kuwa ni chuki ya ndugu marafiki hata jirani.

Hayo ni baadhi ya majinamizi yanaoyowakumba wanawake kuchelewa kuzaa na kufikia kuteseka sana.

NB: Kuna wanachelewa kuzaa au kuolewa kwakuwa wakati wa Mungu bado.


Kwa Yesu yote yanawezekana...




Donatila
Wamezidi kuchagua chagua kama karanga
 
Wanasema wakati wa Mungu ndiyo wakati sahihi.

Maandiko ya Biblia yanasema Sarah mke wa Ibrahimu alichelewa kupata mtoto hadi kumwambie mumewe azae na Dada wa Kazi.

Lakini Mungu alivyo mwema, akaja kumpa Sarah mtoto akiwa kwenye umri wa Uzee

Hivyo ukiona jambo lako halijafanikiwa ujue, wakati sahihi bado haujafika [emoji120][emoji120]
Sasa mtoto wa uzeeni wa nini au ndo wasemavyo wazungu better late than never [emoji3]
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Kama kuna mambo ambayo yamekuwa ya yakiwatesa na kuwasumbua wanawake ni kuchelewa kuolewa na kuchelewa kuzaa.

Tukianza na hili jinamizi la kuchelewa kuolewa limekuwa tatizo kwa baadhi ya wanawake na mpaka basi.

Wengine wanafikia hatua ya kutafuta wanaume hata wa kuishi nao ili tu wafiche hiyo aibu ya kuchelewa kuolewa.

Hii ya kutafuta wanaume wa kuishi nao inaitwa sogea tukae au uchumba sugu.

Kuna wanaotafuta vijana na kuwaoa ili tu kuondoka na jinamizi la kuchelewa kuolewa na wanaume.

Achana na hilo jinamizi linalowachelewesha wanawake kuolewa, twende kwa wale ambao wanaolewa ila wanachelewa kuzaa yaani kupata watoto.

Jinamizi hili limekuwa gumzo huko duniani yaani wanawake wanavizazi ila hawashiki mimba, wanakipima hawana tatizo.

Pia kuna wale wanawake ambao wanamatatizo ambayo ni ya kujitakia wao wenyewe wanajua walivyokula ujana wao.

Yaani wanawake hao walikaanga mayai yao na kwa bahati mbaya wakayaunguza kwa kutoa mimba, hivyo hawakuweza kuyala yaani kuzaa watoto.

Kuna wanawake wengine matatizo yanatoka na uchawi/ Mizimu na uganga.

Wanawake hawa wanakuwa wanao uzazi ila uzazi wao umefungwa kwa vifungo vya nguvu za giza hivyo hawawezi kuzaa.

Vifungo hivi vya wanawake vimekuwa vinatofautiana maana wengine ni uchawi wa ndugu au wazazi au jirani hata rafiki.

Kuna wanawake ambao mizimu ya upande wa mama au baba inakuwa inawazuia wanawake kupata watoto kutokana na agano waliloingia ukoo wao.

Kuna wanawake ambao ambao wengine wamefungwa na uganga, inaweza kuwa ni chuki ya ndugu marafiki hata jirani.

Hayo ni baadhi ya majinamizi yanaoyowakumba wanawake kuchelewa kuzaa na kufikia kuteseka sana.

NB: Kuna wanachelewa kuzaa au kuolewa kwakuwa wakati wa Mungu bado.


Kwa Yesu yote yanawezekana...




Donatila
Detailed 👍🏾
 
Back
Top Bottom