Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Kujielewa hakuhusiani na Hela!
'Mwanaume' anaetambua kuwa yeye ni mwanaume na anajua nafasi yake na wajibu wake!

Kuna wanaume Wana Hela ila ni useless!
Hebu fafanua hiyo nafasi ya mwanaume ni ipi maana Hilo neno wanawake wengi huwa mnapenda kulitumia
 
Ungejiongeza kuanza kuwasomea, kuwaagua na kuwatengenezea nyota zao kabisa, kwa ada ndogo tu ya kiushkaji.
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜!

Sema hio ilikua ni nguvu ya Mungu inafanya kazi yake Kutokana na vitu vya kichawi walivoweka Chini ya kitanda vingine mtoto kulishwa kichawi!
Muda huohuo mamamtu anaombewa kanisani hapohapo chumbani ndio hali hio inatokea ilikua ni nguvu ya Mungu kazini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…