Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Plo Lumumba Jr.
Usiseme adui.

Yapo matatizo ambayo viongozi wetu wanaogopa kuyakubali.

Mfano BAKWATA.

Hii taasisi haikuundwa na Waislam na Waislam hawaitaki lakini ipo kwa kuwa serikali inataka iwepo ifanye kazi ya upawa.

Upawa kazi yake ni kupakua vitu vya moto.
 
Wewe mzee ni Mzee Chuki. Umepandikiza chuki kubwa na maandiko yako yaliyojaa ubaguzi na sasa imeanza kumea vijana wako wameanza kupora silaha kujiandaa kutimiza yale uliyoyapanda. Wewe ni mbaguzi kuliko hata PW Botha. Nchi hii ni yetu sote, tumeishi kwa upendo na kuvumiliana. Wote ni ndugu wa asili moja. Lakini wewe umekuja na maandiko ya kutugawa unaona Dini nu muhimu kuliko utu,unaona dini ni muhimu kuliko upendo, unaona dini ni muhimu kuliko uhai.
Unalazimisha historia unayoitaka wewe iwe historia ya nchii hii. Historia yako imejaa ubaguzi na chuki tupu. Unadhani watu wa imani nyingine sio watu na hawastahili kuwepo. Imani sasa inatoweka, naona unafurahia na kuchochea moto na maandiko yako ya chuki
 
Plo Lumumba Jr.
Usiseme adui.

Yapo matatizo ambayo viongozi wetu wanaogopa kuyakubali.

Mfano BAKWATA.

Hii taasisi haikuundwa na Waislam na Waislam hawaitaki lakini ipo kwa kuwa serikali inataka iwepo ifanye kazi ya upawa.

Upawa kazi yake ni kupakua vitu vya moto.

sasa simuundee wenyewe mmekatazwa.. wewe mzee ngano zako tumezichoka sasa uanze kuandika na visasili
 
Wewe mzee ni Mzee Chuki. Umepandikiza chuki kubwa na maandiko yako yaliyojaa ubaguzi na sasa imeanza kumea vijana wako wameanza kupora silaha kujiandaa kutimiza yale uliyoyapanda. Wewe ni mbaguzi kuliko hata PW Botha. Nchi hii ni yetu sote, tumeishi kwa upendo na kuvumiliana. Wote ni ndugu wa asili moja. Lakini wewe umekuja na maandiko ya kutugawa unaona Dini nu muhimu kuliko utu,unaona dini ni muhimu kuliko upendo, unaona dini ni muhimu kuliko uhai.
Unalazimisha historia unayoitaka wewe iwe historia ya nchii hii. Historia yako imejaa ubaguzi na chuki tupu. Unadhani watu wa imani nyingine sio watu na hawastahili kuwepo. Imani sasa inatoweka, naona unafurahia na kuchochea moto na maandiko yako ya chuki

Punguza jazba! soma makala zake ukiwa huru kimawazo utamuelewa,ibakie hutaki kukuubali tu.
 
Remote,
Unaandika ukiwa umeghadhibika.

Hii inakuondolea umakini katika kuwaza na inakupunguzia staha.

Ndiyo maana unaanza kwa kuniita, "Wee mzee..."

Nikishaona hivyo tayari nishaelewa kuwa umeelemewa.

Tulia na tufanye mjadala wa heshima khasa kwa kuwa wewe ni kijana mdogo na mimi ni mzee.

Kila mtu anaweza kujifunza toka kwa mwenzie.
 
Babu wa Loliondo,
Hivyo usemavyo si kweli.

Siwezi kulazimisha historia.

Mimi nimefanya masahihisho makubwa katika historia ya uhuru wa Tanganyika kiasi niko katika orodha ya waandishi 500 walioandika Dictionary of Africa Biography (DAB), Oxford University Press, New York 2011.

Usinambie kuwa Oxford wanachapa maandishi ya chuki.

Nina vitabu vingine viwili na hao hao Oxford lakini Nairobi.

Yako mengi ya kuelezana.
 
Hoshea,
Hakika miaka imekwenda.

Hakika tugange na tusonge mbele.

Lakini pia ni vizuri tukaelewa tulikotoka na kujiuliza hapa tulipo tulifikaje?

Ndahani,
Sikupoteza muda wala sikusudii kupoteza muda wa mtu yoyote.

Hii historia imekubalika kwenye vyuo vingi na imesaidia sana katika kuelewa
hali ya nchi yetu.

Lakini ikiwa wewe unahisi unapoteza muda wako unaweza ukaacha kunisoma
ukiona post yangu unapita wima.

sioni sababu ya wewe kuhangaikia mambo yanayoashiria kuligawa taifa ....je hao waislamu wana umuhimu mkubwa kuliko wengine katika taifa hili la watu wenye imani tofauti....kwa nini usielekeze nguvu zako kupambana na uozo unaolikabili taifa hili ...Mzee wangu achana huo umbea wa kwenye vijiwe vya kahawa..
 
Swali la kujiuliza ni iweje hii leo baada ya miaka 57 kupita Sheikh Suleiman Takadir anarejeshwa upya katika historia ya kupigani uhuru wa Tanganyika? Hiki ni kitendawili kinachongoja kuteguliwa.


Nani anamrejesha? hivi harakati za kudai uhuru,miaka hiyo zingefanyika mkoa wa kilimanjaro au mbeya,hilo baraza la wazee wa TANU,wajumbe wake wangekuwa wa imani ipi? wakati harakati za kudai uhuru zinaendelea DSM,je wakazi wa mikoa mingine walikuwa wamelala wakisubili wa islam wa DAR wawaletee uhuru?

Kama ambavyo Dar ndo kila kitu sasa, hata wakati huo mwamko mkubwa ulikuwa Dar!

Itoshe tu kusema Waislam wamechangia sana kupatikana kwa Uhuru wa Tanganyika. Hilo huwez kubisha. Kama unabisha lete data au ushahidi kwa picha kama za Sheikh Mohammed Said.Usitokwe na povu kwenye ukweli.

Ama tukiangalia picha kweli ilikuwa ni kitambo sana. Aina ya Blue-Red Brigade wa wakati huo wakiwalinda viongoz kwa marungu na mishale, siyo mchezo. Nilitegemea vitu kama hivi viundiwe makal kwenye magazeti yetu ya picha kutoka maktaba za wapigania Uhuru wa Tanganyika
 
Babu wa Loliondo,
Hivyo usemavyo si kweli.

Siwezi kulazimisha historia.

Mimi nimefanya masahihisho makubwa katika historia ya uhuru wa Tanganyika kiasi niko katika orodha ya waandishi 500 walioandika Dictionary of Africa Biography (DAB), Oxford University Press, New York 2011.

Usinambie kuwa Oxford wanachapa maandishi ya chuki.

Nina vitabu vingine viwili na hao hao Oxford lakini Nairobi.

Yako mengi ya kuelezana.

Mpe fact huyo! Siyo analeta tu porojo
 
Wewe mzee ni Mzee Chuki. Umepandikiza chuki kubwa na maandiko yako yaliyojaa ubaguzi na sasa imeanza kumea vijana wako wameanza kupora silaha kujiandaa kutimiza yale uliyoyapanda. Wewe ni mbaguzi kuliko hata PW Botha. Nchi hii ni yetu sote, tumeishi kwa upendo na kuvumiliana. Wote ni ndugu wa asili moja. Lakini wewe umekuja na maandiko ya kutugawa unaona Dini nu muhimu kuliko utu,unaona dini ni muhimu kuliko upendo, unaona dini ni muhimu kuliko uhai.
Unalazimisha historia unayoitaka wewe iwe historia ya nchii hii. Historia yako imejaa ubaguzi na chuki tupu. Unadhani watu wa imani nyingine sio watu na hawastahili kuwepo. Imani sasa inatoweka, naona unafurahia na kuchochea moto na maandiko yako ya chuki

Wewe kweli ni mganga wa kienyeji. Badala ya kujadili hoja na facts kwa kutoa opposing facts unaamua kufanya personal attack kwa manufaa ya nani? Unatokwa na povu jingi huku ukiwa huna hoja zaidi ya kutapatapa tu. Lete facts ukiwa na vielelezo vyote kama una ubavu huo. Kama huna kaa kimya na uache porojo.
 
Chaza,
Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuifanya kazi hii.

Northwest University ndiyo mabingwa wa historia ya Africa.

Wako Evanston, Chicago.

Mwaka 2011 walinikaribisha nikazungumza chuoni kwao kuhusu mchango wa Waislam dhidi ya ukoloni wa Waingereza.
 
Ndahani,
Sikupoteza muda wala sikusudii kupoteza muda wa mtu yoyote.

Hii historia imekubalika kwenye vyuo vingi na imesaidia sana katika kuelewa
hali ya nchi yetu.

Lakini ikiwa wewe unahisi unapoteza muda wako unaweza ukaacha kunisoma
ukiona post yangu unapita wima.

Hata hueleweki. Je ni kwa nini unaleta mada hizi kipindi hiki ambacho watu wanaojinasibisha na uislam wakiwa wanashambulia vituo vya polisi na kutaka kuunda dola ya kiislam, tukuchukulieje? uko upande gani?
 
Tatizo letu tunapenda sana simplicity, mnadhani historia inafichwa wenzetu wenye utamaduni wa kupenda kujua mambo husoma na kufanyia kazi wanalosikia au kuliona popote, sisi hupenda kukataa kila lisemwalo hata kama hajaelewa, huu ni ujinga tumuombe mungu atutoe ktk ujinga huu. Katika nchi hii ya Tanganyika kuna madudu mengi yaani hatatukianza kuhesabiana itakua kazi moja ndio maana tunaishi kwa kuvumiliana kila mtu akisubiri hatma yake, ukweli haki na uadilifu ni mambo adimu sana hasa kwa ss watanganyika. Ifike siku tuone aibu alosema mtu msililize hata kama hutampa hiyo haki anayodai vinginevyo dunia itaendelea kutushangaa
 
Huo ni mtizamo wako binafsi. Usilazimishe mtizamo wako kihistoria uwe ndiyo msimamo "official". Mada zako nyingi zimejikita katika Uislamu na Pwani ya Tanganyika. Nikutaarifu tu kwa mimi niliyetoka "interior" Tanganyika kwa mara ya kwanza nimekutana na waislamu (sisi kule kwetu tunaita "Waswahili") mwaka 1970 ukichukulia maanani nimezaliwa miaka ya 50. Lakini chama cha TANU nimekisikia mwaka wa 1964. Waswahili walikuwa confined to the coastal belt na vision yao kabla ya Nyerere sidhani kwamba ilikuwa kubwa kwa sababu malengo yao yalikuwa ni ya kijamii zaidi kuliko kisiasa. TAA ilibadilika sana Nyerere alivyoingia kwa sababu ailibadilisha vision na mission ya TAA kuwa political rather than social. The very fact kwamba mtu mmoja alileta mabadiliko makubwa kiasi hicho wakati kundi la waswahili hawakuweza kufanya hivyo mpaka Nyerere alipofika, ndicho kinachokukwaza sana na unafikiri labda Nyerere aliwakandamiza. Historia imejaa mifano mingi tu ya namna mtu mmoja anavyoweza kuhamasisha watu kwa lengo fulani. Hivyo mantiki yako ni very narrow na hii haishangazi sana kwa kuwa "Religion has never been the best argument to base on, unless mtu umefilisika kabisa kifikra".
 
Kweli kabisa...nisichoelewa ni kwanini unashabikia sana udini kwa kigezo cha Nyerere. Udini tuufanye sisi halafu matusi yaende kwa Nyerere. Inamsaidia nani? Jamii yetu inaumwa...inahitaji tiba ya kweli. Tusipofungua macho na kuona hilo tutaadhirika. Nyerere amekuja na kwenda. Leo tupo mimi na wewe na wengine waliopo. Changamoto zetu lazima tuzikabiri wenyewe kwa heshima na maridhiano. Tunao uwezo huo kama hatutasukumwa na egoes zetu.

Sishangai mambo mengi yanakwama sababu nyuma ya kila ajenda tumeficha unafiki wetu

well said kaka maneno mazur sna nakupongeza
 
Back
Top Bottom