Hapo sibishi, wema anatoka na platinums, platinums ametoka na jokate, aunt ezekiel,irene uwoya,jack wolper, lulu,...... list ndefu, halafu angalia hao niliowataja na watu waliotoka nao kila mmoja, mfano lulu katoka na bob juniour(tetesi zangu), wema ndio usiseme, halafu ongeza na wolper na aunt, utaona mnyororo mrefu ambao ndani yake hata huyo anayedai kuwa wasanii wenzake wana ngoma na yeye mwenye yupo! "Ndege wafananao huruka pamoja".
alishatoka na mr. nice muda mrefu tu baada ya chuz. kipindi.hicho anaishi makongo juu.....
sasa hivi kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Kuna dada mmoja alitoka na mr nice na nnakumbuka kama alizaa nae kabisa, huyo dada aliugua ugonjwa ambao magazeti ya udaku hayakusema ingawa walikuwa wanamwandika kuwa ni mgonjwa, yule dada alikufa akiwa amekonda sana, sina hakika nae kama alikuwa kwenye gridi ya taifa.
anaitwa diana, alikuwa mcheza shoo wa diamond sound kipindi hicho.. ni kweli alizaa na mr.nice.
Sawa kabisa, hivi unajua alikuwa anaugua ugonjwa gani hadi mauti yalipomfika?
kuna dada mmoja alitoka na mr nice na nnakumbuka kama alizaa nae kabisa, huyo dada aliugua ugonjwa ambao magazeti ya udaku hayakusema ingawa walikuwa wanamwandika kuwa ni mgonjwa, yule dada alikufa akiwa amekonda sana, sina hakika nae kama alikuwa kwenye gridi ya taifa.
diana aston vila..
Huyohuyo.
duuh...!
Aisee halafu huyo steve nyerere nae aliugua sana,akadai karogwa,na juzi juzi kafiwa mtoto,kazi ipo
Mbona siku hizi umeme sio lazima upimwe na tester, macho tu yanatosha.
Si kweli
Money stunna mimi ni zaidi ya tester, nawajua hadi member humu kupitia post zao tu, achilia kuwaona kwa macho.