MwanawaMUNGU41
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,036
- 737
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tester ni macho,Money stunna mimi ni zaidi ya tester, nawajua hadi member humu kupitia post zao tu, achilia kuwaona kwa macho.
Asante kwa jibu hili,watu wanaumwa kwa siku moja na kwenda wanawaacha wenye ukimwi na afya zaoWewe sio Mungu unaweza kufa wewe ukawaacha Hao,kupata HIV sio kifo. Vipi kuhusu magonjwa kama kansa? Tena mate chini weww
Sent using Jamii Forums mobile app
Wema Sepetu
Ok! ila ktk chain ya hao niliwataja na yeye atakuwepo tu.
Hapo sibishi, wema anatoka na platinums, platinums ametoka na jokate, aunt ezekiel,irene uwoya,jack wolper, lulu,...... list ndefu, halafu angalia hao niliowataja na watu waliotoka nao kila mmoja, mfano lulu katoka na bob juniour(tetesi zangu), wema ndio usiseme, halafu ongeza na wolper na aunt, utaona mnyororo mrefu ambao ndani yake hata huyo anayedai kuwa wasanii wenzake wana ngoma na yeye mwenye yupo! "Ndege wafananao huruka pamoja".
Mkuu nasikia jini kabula kawaka kweliKwenye hiyo orodha nina uhakika na hao watu wawili.
1.Jini kabula mwenyewe.
2.Agnes masogange.
3.Hissan Muya aka Tino.
4.Antie ezekiel.
5......
Wenye info mwaweza kuendeleza huo uzi.
hiyo ni ajali ambayo hautakiwi kabisa kumsema aliyeupata kama ana dhambi sana au namna gani vipi, hata sisi ambao hatujaupata ni neema tu, kwasababu tulishafanya sana hayo waliyofanya hao na wakaupata ila kwa neema tu wala sio kustahili, tukapona. acheni unyanyapaa na kuumiza mioyo ya walioathirika.Hakuna anayependa kuwa na ukimwi, ni matokeo tu ambayo hakuna wa kuyapinga kwa kuwa kila mtu anashiriki ngono zembe
Nadhani uliyemquote alishaga kufahiyo ni ajali ambayo hautakiwi kabisa kumsema aliyeupata kama ana dhambi sana au namna gani vipi, hata sisi ambao hatujaupata ni neema tu, kwasababu tulishafanya sana hayo waliyofanya hao na wakaupata ila kwa neema tu wala sio kustahili, tukapona. acheni unyanyapaa na kuumiza mioyo ya walioathirika.
Asa mbona ume mquote marehem?au atasoma ujumbe wako huko alipohiyo ni ajali ambayo hautakiwi kabisa kumsema aliyeupata kama ana dhambi sana au namna gani vipi, hata sisi ambao hatujaupata ni neema tu, kwasababu tulishafanya sana hayo waliyofanya hao na wakaupata ila kwa neema tu wala sio kustahili, tukapona. acheni unyanyapaa na kuumiza mioyo ya walioathirika.
Dah! Nimetamani kucheka ila nikajizuia...Asa mbona ume mquote marehem?au atasoma ujumbe wako huko alipo
🤔🤔Huyu Jini kabula si 2019 kama sikosei alikutwa na ngoma takataka kujiua kuna wema wakamsaidia kwa ushauri na kumuambia mbona wengi wanao kwenye fani lakini wanaishi nao.
tena sana,... kweli wa zamani..🧐