Jini/shetani wa pesa na utajiri mwenye asili ya nyoka: Almliyah Alnafedha

Jini/shetani wa pesa na utajiri mwenye asili ya nyoka: Almliyah Alnafedha

Rakims

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2014
Posts
5,002
Reaction score
4,571
Ni matumaini yangu wote ni wazima na mpo salama kabisa,
Leo nataka niwafundishe jambo kuhusu jini/shetani huyu ambaye baadhi ya watu wengi wanamtumia katika kujitajirisha na kuweza kuwanufaisha na kupata mali,pesa,majumba ya kifahari ikiwa ni pamoja na mafanikio mbali mbali katika miujiza ya uponyaji hapa nitakujuza mafanikio yake yanavyokuja na jinsi mganga au mchawi anavyomuandaa na kukuitia kisha akakukabidhi pamoja na masharti yake;

MTAMBUE

1649688621036.png

Kwanza kabisa, unachotakiwa kufahamu ni jina lake maarufu anaitwa ALMLIYAH ALNAFEDHA

Huyu ni moja kati ya majini 72 waliowahi kuletwa mbele ya macho ya Nabii Suleiman (King solomon) kwa kupitia JINI MFALME FIQITUSH (Faktushi) ambaye nae Fiqitush alikamatwa na malaika wawili JIBRIL & MIKAIL (GABRIEL & MICHAEL) kwa amri ya mwenyezi Mungu baada ya kumletea pete ya utume kisha wakamkamatia jini huyu FIQITUSH ambaye nae akawa mtiifu kwa King Suleiman nae FIQITUSH ndio alikuwa mganga mkuu katika mataifa ya majini na akamuahidi kuwa atamletea majini wakuu kabisa kwa elimu yake na atawaambia wanapokaa uharibifu wao na nguvu zao na jinsi ya kuwatibu watu ambao watakuwa wamedhurika nao na jinsi ya kuwafunga pia na kuondoa maagano mbali mbali waliokuwa wameweka nao.

Kufupisha maelekezo;

Huyu Mfalme wa majini FIQITUSH katika majini 72 aliowaleta mbele ya mfalme Suleiman jini wa 60 ndio alikuwa huyu ALMLIYAH ALNAFEDHA maarufu kwa watu flani flani hapa Tanzania kama Jabar jini au nyamihela au jini pesa (yote majina ya tungo tu kuvutia wateja) wenye kuwataka, lakini koo zake pia huyu ni koo za kina MAIMUN au MAIMUNA katika utawala wa Aba Nukh Maimun mfalme mtawala wa siku ya Jumamosi na sayari ya zohari mwenye asili ya nyoka mweusi.

ENEO ANALOKAA
Makazi ya kiumbe hiki ni popote pale panapokuwa na kundi la kondoo ndio makazi jini huyu hupendelea kukaa nae hukaa karibu na viumbe hao pembeni ya miji na kwa wanaemmiliki humlisha kondoo unless akikosea masharti yake ndio huanza kudai fidia kubwa *********.

UKIKOSEA MASHARTI YAKE:
Asilimia 80 ya watu hukosea masharti yake ambapo huperekea kuanza kumletea madhara makubwa kama ***** watu, kuleta maradhi ya ukichaa na kumfanya mtu kuwa na kipanda uso cha uchizi,maumivu makali ya taya zote yasioponyeka na mapigo ya moyo kwenda mbio na kuanza kumfanya muhusika au yule aliyetolewa kafara kuanza kuwa kichaa ama taahira na kukosa tiba yake.

UKITAKA KUMFUKUZA:
Ikiwa unataka kumfukuza kwa usalama na bila kuleta matatizo ya ***** mtu au ndugu kwanza kabisa unatakiwa ukubali kupoteza mali aliyokuletea au kile alichokufanyia kwa makubaliano yenu. kisha upate majani ya croton na Majani ya Mpopoo kisha ule kwa siku 21 chakula kisicho na acid utakuwa unajifukiza na kunusa popoo na kila ukiwa unajifukiza na kunusa unachukua muhuri uliotumia kumuitia unaubinya na kumuamuru aondoke na asirudi tena na achukue vitu vyake kisha kila siku alichokupa yeye kitayayuka na kila siku atakuwa anakupa kitisho cha kuwa akiondoka unakufa ukibinya muhuri wake ambao umeandika kinyume anakuwa anapotea hakikisha pia unakuwa shingoni umevaa Muhuri wa Suleiman ule mkubwa kabisa kwenye pete kama kinga kisha wakati unatumia mpopoo na croton unakuwa unatumia na kombe ya majina ya siri ya Mungu kwa mbingu ya SITA.

UKITAKA KUMUITA NA MASHARTI YAKE:

Unaweza kuangalia kwenye video hii;
Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:

Rakims
 
Ni matumaini yangu wote ni wazima na mpo salama kabisa,
Leo nataka niwafundishe jambo kuhusu jini/shetani huyu ambaye baadhi ya watu wengi wanamtumia katika kujitajirisha na kuweza kuwanufaisha na kupata mali,pesa,majumba ya kifahari ikiwa ni pamoja na mafanikio mbali mbali katika miujiza ya uponyaji hapa nitakujuza mafanikio yake yanavyokuja na jinsi mganga au mchawi anavyomuandaa na kukuitia kisha akakukabidhi pamoja na masharti yake;

MTAMBUE

View attachment 2184009

Kwanza kabisa, unachotakiwa kufahamu ni jina lake maarufu anaitwa ALMLIYAH ALNAFEDHA

Huyu ni moja kati ya majini 72 waliowahi kuletwa mbele ya macho ya Nabii Suleiman (King solomon) kwa kupitia JINI MFALME FIQITUSH (Faktushi) ambaye nae Fiqitush alikamatwa na malaika wawili JIBRIL & MIKAIL (GABRIEL & MICHAEL) kwa amri ya mwenyezi Mungu baada ya kumletea pete ya utume kisha wakamkamatia jini huyu FIQITUSH ambaye nae akawa mtiifu kwa King Suleiman nae FIQITUSH ndio alikuwa mganga mkuu katika mataifa ya majini na akamuahidi kuwa atamletea majini wakuu kabisa kwa elimu yake na atawaambia wanapokaa uharibifu wao na nguvu zao na jinsi ya kuwatibu watu ambao watakuwa wamedhurika nao na jinsi ya kuwafunga pia na kuondoa maagano mbali mbali waliokuwa wameweka nao.

Kufupisha maelekezo;

Huyu Mfalme wa majini FIQITUSH katika majini 72 aliowaleta mbele ya mfalme Suleiman jini wa 60 ndio alikuwa huyu ALMLIYAH ALNAFEDHA maarufu kwa watu flani flani hapa Tanzania kama Jabar jini au nyamihela au jini pesa (yote majina ya tungo tu kuvutia wateja) wenye kuwataka, lakini koo zake pia huyu ni koo za kina MAIMUN au MAIMUNA katika utawala wa Aba Nukh Maimun mfalme mtawala wa siku ya Jumamosi na sayari ya zohari mwenye asili ya nyoka mweusi.

ENEO ANALOKAA
Makazi ya kiumbe hiki ni popote pale panapokuwa na kundi la kondoo ndio makazi jini huyu hupendelea kukaa nae hukaa karibu na viumbe hao pembeni ya miji na kwa wanaemmiliki humlisha kondoo unless akikosea masharti yake ndio huanza kudai fidia kubwa *********.

UKIKOSEA MASHARTI YAKE:
Asilimia 80 ya watu hukosea masharti yake ambapo huperekea kuanza kumletea madhara makubwa kama ***** watu, kuleta maradhi ya ukichaa na kumfanya mtu kuwa na kipanda uso cha uchizi,maumivu makali ya taya zote yasioponyeka na mapigo ya moyo kwenda mbio na kuanza kumfanya muhusika au yule aliyetolewa kafara kuanza kuwa kichaa ama taahira na kukosa tiba yake.

UKITAKA KUMFUKUZA:
Ikiwa unataka kumfukuza kwa usalama na bila kuleta matatizo ya ***** mtu au ndugu kwanza kabisa unatakiwa ukubali kupoteza mali aliyokuletea au kile alichokufanyia kwa makubaliano yenu. kisha upate majani ya croton na Majani ya Mpopoo kisha ule kwa siku 21 chakula kisicho na acid utakuwa unajifukiza na kunusa popoo na kila ukiwa unajifukiza na kunusa unachukua muhuri uliotumia kumuitia unaubinya na kumuamuru aondoke na asirudi tena na achukue vitu vyake kisha kila siku alichokupa yeye kitayayuka na kila siku atakuwa anakupa kitisho cha kuwa akiondoka unakufa ukibinya muhuri wake ambao umeandika kinyume anakuwa anapotea hakikisha pia unakuwa shingoni umevaa Muhuri wa Suleiman ule mkubwa kabisa kwenye pete kama kinga kisha wakati unatumia mpopoo na croton unakuwa unatumia na kombe ya majina ya siri ya Mungu kwa mbingu ya SITA.

UKITAKA KUMUITA NA MASHARTI YAKE:

Unaweza kuangalia kwenye video hii;

Rakims
Mkuu tunampataje huyu kiumbe....tupe muongozo.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Ni matumaini yangu wote ni wazima na mpo salama kabisa,
Leo nataka niwafundishe jambo kuhusu jini/shetani huyu ambaye baadhi ya watu wengi wanamtumia katika kujitajirisha na kuweza kuwanufaisha na kupata mali,pesa,majumba ya kifahari ikiwa ni pamoja na mafanikio mbali mbali katika miujiza ya uponyaji hapa nitakujuza mafanikio yake yanavyokuja na jinsi mganga au mchawi anavyomuandaa na kukuitia kisha akakukabidhi pamoja na masharti yake;

MTAMBUE

View attachment 2184009

Kwanza kabisa, unachotakiwa kufahamu ni jina lake maarufu anaitwa ALMLIYAH ALNAFEDHA

Huyu ni moja kati ya majini 72 waliowahi kuletwa mbele ya macho ya Nabii Suleiman (King solomon) kwa kupitia JINI MFALME FIQITUSH (Faktushi) ambaye nae Fiqitush alikamatwa na malaika wawili JIBRIL & MIKAIL (GABRIEL & MICHAEL) kwa amri ya mwenyezi Mungu baada ya kumletea pete ya utume kisha wakamkamatia jini huyu FIQITUSH ambaye nae akawa mtiifu kwa King Suleiman nae FIQITUSH ndio alikuwa mganga mkuu katika mataifa ya majini na akamuahidi kuwa atamletea majini wakuu kabisa kwa elimu yake na atawaambia wanapokaa uharibifu wao na nguvu zao na jinsi ya kuwatibu watu ambao watakuwa wamedhurika nao na jinsi ya kuwafunga pia na kuondoa maagano mbali mbali waliokuwa wameweka nao.

Kufupisha maelekezo;

Huyu Mfalme wa majini FIQITUSH katika majini 72 aliowaleta mbele ya mfalme Suleiman jini wa 60 ndio alikuwa huyu ALMLIYAH ALNAFEDHA maarufu kwa watu flani flani hapa Tanzania kama Jabar jini au nyamihela au jini pesa (yote majina ya tungo tu kuvutia wateja) wenye kuwataka, lakini koo zake pia huyu ni koo za kina MAIMUN au MAIMUNA katika utawala wa Aba Nukh Maimun mfalme mtawala wa siku ya Jumamosi na sayari ya zohari mwenye asili ya nyoka mweusi.

ENEO ANALOKAA
Makazi ya kiumbe hiki ni popote pale panapokuwa na kundi la kondoo ndio makazi jini huyu hupendelea kukaa nae hukaa karibu na viumbe hao pembeni ya miji na kwa wanaemmiliki humlisha kondoo unless akikosea masharti yake ndio huanza kudai fidia kubwa *********.

UKIKOSEA MASHARTI YAKE:
Asilimia 80 ya watu hukosea masharti yake ambapo huperekea kuanza kumletea madhara makubwa kama ***** watu, kuleta maradhi ya ukichaa na kumfanya mtu kuwa na kipanda uso cha uchizi,maumivu makali ya taya zote yasioponyeka na mapigo ya moyo kwenda mbio na kuanza kumfanya muhusika au yule aliyetolewa kafara kuanza kuwa kichaa ama taahira na kukosa tiba yake.

UKITAKA KUMFUKUZA:
Ikiwa unataka kumfukuza kwa usalama na bila kuleta matatizo ya ***** mtu au ndugu kwanza kabisa unatakiwa ukubali kupoteza mali aliyokuletea au kile alichokufanyia kwa makubaliano yenu. kisha upate majani ya croton na Majani ya Mpopoo kisha ule kwa siku 21 chakula kisicho na acid utakuwa unajifukiza na kunusa popoo na kila ukiwa unajifukiza na kunusa unachukua muhuri uliotumia kumuitia unaubinya na kumuamuru aondoke na asirudi tena na achukue vitu vyake kisha kila siku alichokupa yeye kitayayuka na kila siku atakuwa anakupa kitisho cha kuwa akiondoka unakufa ukibinya muhuri wake ambao umeandika kinyume anakuwa anapotea hakikisha pia unakuwa shingoni umevaa Muhuri wa Suleiman ule mkubwa kabisa kwenye pete kama kinga kisha wakati unatumia mpopoo na croton unakuwa unatumia na kombe ya majina ya siri ya Mungu kwa mbingu ya SITA.

UKITAKA KUMUITA NA MASHARTI YAKE:

Unaweza kuangalia kwenye video hii;

Rakims
Jina lake la kiarabu.
 
Back
Top Bottom