Jini/shetani wa pesa na utajiri mwenye asili ya nyoka: Almliyah Alnafedha

Elimi kama hizi wanazo waganga pekee yaani unajuaje namna ya kumfuga ? Hata njia uliyoionesha ya kumtoa ni ya kishirikina .

Ila all in all kila mtu anachagua atakavyoishi kula bata mkuu na wakina maimuna hao .
Sasa kama ulilijua hilo usingehangaika kuquote pumba kijana. Halafu nikupe faida moja elimu ya ulimwengu na dunia nzima kila mtu aliyonayo ni sawa na kuchovya kidole kwenye bahari ya maji tone linalodondoka ni sawa na elimu yako mtu mmoja sasa kabla hujaanza kujadili usiyoyajua tafakari ulimwengu una bahari ngapi na wewe elimu yako ni tone tu mangapi usio yajua?
Ni bora yule mwenye kusema sijui kuliko anaejifanya anajua hali ya kuwa hana ajualo. Tafuta hekima kwanza kisha uje kuanza kuquote hoja kwa hekima kwa faida ya wengine na sio kusupport upuuzi.

Hapo kwa akili zako finyu kipengele gani kimeonyesha kumtoa unatumika ushirikina?

Rakims
 
Wacha niendelee kula kauzu kuliko mambo haya
 
Namuhitaji huyo kiumbe kam hutojali naomb mawasilian yako nje ya hapa
Rakims
 
TUKIWAAMBIA WATU KUWA WAISLAMU WANAPENDA SANA SHIRKI NA ULOZI TUNAONEKANA HATUPENDI UISLAM
Hizo ni fikra kama fikra nyingine,wilaya niliopo wakazi wake zaidi ya 96% sio waislam lakini shirk na ulonzi ni zaidi ya 98%,hii Dunia ina mengi tembea uone
 
dah
 
Hakuna urafiki Kati ya mwanadamu na jini,ni kama ilivyo Hakuna urafiki Kati ya mwanadamu na mfugo,hata kama mfugo utapendwa vipi ikiwemo kulishwa vizuri mwisho ni kisu na kuliwa.
Kazi ya jini ni kuchinja na kuharibu,hata ukitoa kafara watu wako wote mwisho ni lazima akuue na achukue mali zake.

Fuga jini mwisho lazima utakuwa chakula cha jini
 
Mkuu mbona mkali hivyo? Hutaki watu wakuchllenge? Sawa, naomba nijifunze kitu kutoka kwako. Yesu unamjua kama nani? Je mamlaka yake kwenye ulimwengu wa Roho yapoje?
 
je ukumfukuza huyo shetani( jini) na nyumba au mashamba uliyojenga yanaenda wapi.
 
🤣🤣🤣kweli
 
Waganga nyie mnakuwaga na mikwara sana🤣🤣
 

Hekaya za Abunuwas.
 
Hakuna hela ya namna hii duniani , cha kushangaza ni wewe mwenywe baada kupeleka hela zako kwa mganga unaanza kujituma kwa bidii na kuona mabadiliko lakini kwa ulozi ulivyokujaa kichwani unadhani unaendelea kwa hirizi na majini

Masharti yenyewe ya mganga atakwambia uanze biashara au shughuli zako saa 11 asubuhi, uache ulevi na uzinzi na uongeze bidii na kujituma, sasa haya ni masharti au ndio ukweli wenyewe ungeufuta mwenyewe bila kuliwa hela na hao waganga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…