Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Ukitaka kuishi kwa amani na kwa mafanikio makubwa usiishi ili umfurahishe binadamu mwenzako. Ishi kulingana na uwezo wakoHizi ajira zetu dah ukiikosa jua ndoa imeisha tayari ni mwendo wa vibweka tu
Tangu nimeanza kuishi kwa hii kanuni imenisaidia sana pakubwa. Mwanamke hata kama aseme hanitaki, huwa naachana naye.