Jinsi ambavyo bwana Denis anateseka na ndoa yake ya kufosi labda malaika pekee ndio waingilie kati!

Jinsi ambavyo bwana Denis anateseka na ndoa yake ya kufosi labda malaika pekee ndio waingilie kati!

Haya mambo utokea kwa yeyeto tu hayana cha kukosea kuoa au kupatia kuoa. Maisha ya ndoa hayana formula jinsi ya kuishi ila mwanzilishi wa taasisi ya ndoa aliweka misingi mitatu Ili ndoa idumu
 
Basi ikabidi atuweke wazi kwamba, amegundua jambo moja linalomtesa sana roho, kwamba wakati huu ambao hana kitu mkewe ameonesha kucha zake zote, na mke amemtamkia wazi kwamba "yeye mke hajawai kumpenda kabisa kabisa, na alikua anamvumilia tu na kwakua alikua hajayajua bado maisha, so haoni akiwa na furaha naye, na siku zote alijilazimisha kumpenda ila alijiona kabisa hafit."
Wanaopenda kuoa vitoto vidogo kisa vina Bikra 90% wamekula msoto sana.

Maana unamuoa mtu then unageuka kuwa baba yake. Akipata mimba tu mpaka azae utakoma.

Yaani wanawake wanajua akikupa Bikra yake basi utaisotea maisha yako yoote
 
Kumbe kuoa kijijini nako tabu tupu. Nitatoa kweli?
Wanawake wa vijijini ni wahuni na wwchepukaji wazuri. Watu wanajidanganya eti vijijini Kuna wanawake wenye tabia njema! Kule wanafumuana wenyewe kwa wenyewe wakiwa shule ya msingi darasa la tano, bodaboda nao wanapita! Wazee wenye vipesa wanapita. Nyumbani wazazi nao wanachepuka! Starehe ya Vijijini Ni ngono! Ukijumlisha umaskini,malezi yasiyo tight,...... ulimbukeni nao upo!
 
Mwanamume gani unakosa command nyumbani kwako?halafu five years unakuwa na mtoto mmja Kama njiwa
 
Mwanamume unatakiwa kuwa na Roho ya jiwe .Ni pm tumsolvie tatizo lake,mwanamke mwenyewe Ana jini mahaba na hapo ndipo matatizo ya jamaa yanaanzia,Kama akimfukuza huyo mwanamke mbo yake yananyooka
 
Pia huenda bwana Denis anafanyiwa dawa za kumpumbaza,kwa kizazi hiki afadhali aweke Mambo wazi kwa wazazi ama viongozi wa dini,manake kinachofuata hapo Ni mtu kupotezwa,huyo mtoto anayemjali hawezi kumjali akiwa kaburini
 
Alafu mbaya zaidi na mwili anapungua, rafiki wameshajua kuwa jamaa yuko kwenye stresses nzito naye anakiri kabisa kuwa ni Mambo ya kifamilia alafu hachukui hatua. Binafsi rafiki wa design hiyo itafikia kipindi ataona kama namtenga maana hafuati ushauri utakaompa AHUENI katika maswahibu yake zaidi yakunipa stresses na mimi kuona rafiki yangu anateseka alafu no kichwa maji.
Marafiki wa aina hiyo wanakwaza sana kaka. Huwezi amini jamaa mwishoni sana ndio atakuja kuamua kumuacha huyo mwanamke. Na hapo atakuwa ameshateseka sana. Moja kati ya sababu nilizogundua ni kuwa watu ni waoga kufanya baadhi ya maamuzi (huku wakitumia visingizio kadhaa ikiwemo watoto) kama njia ya kuhalalisha makosa na hofu zao. Mtu anaejipenda haswa lazima ajue kipimo cha furaha na huzuni yake. Kama unajipenda ipasavyo huwezi kujiumiza.
 
Marafiki wa aina hiyo wanakwaza sana ndugu. Huwezi amini jamaa mwishoni sana ndio atakuja kuamua kumuacha huyo mwanamke. Na hapo atakuwa ameshateseka sana. Moja kati ya sababu nilizogundua ni kuwa watu ni waoga kufanya baadhi ya maamuzi (huku wakitumia visingizio kadhaa ikiwemo watoto) kama njia ya kuhalalisha makosa na hofu zao. Mtu anaejipenda haswa lazima ajue kipimo cha furaha na huzuni yake. Kama unajipenda ipasavyo huwezi kujiumiza.
 
Bora uoe ukiwa huna hela tu mwanamke ajue mmependana hivyo hivyo Mungu akijalia mtawini.

Ila kuokota haya ma slay queen anataka ahudumiwe kuanzia akiamka na mswaki hadi mda anakung'uta miguu kupanda kitandani ni kujitaftia presha ya moyo tu.
Mungu akubariki kamanda! 👊🏾
 
Haya mambo utokea kwa yeyeto tu hayana cha kukosea kuoa au kupatia kuoa. Maisha ya ndoa hayana formula jinsi ya kuishi ila mwanzilishi wa taasisi ya ndoa aliweka misingi mitatu Ili ndoa idumu
Yapi hayo ndugu Showmax?! 😃
 
Wanaopenda kuoa vitoto vidogo kisa vina Bikra 90% wamekula msoto sana.

Maana unamuoa mtu then unageuka kuwa baba yake. Akipata mimba tu mpaka azae utakoma.

Yaani wanawake wanajua akikupa Bikra yake basi utaisotea maisha yako yoote
Sio wote ndugu Rasterman... vipi watanzania wenye asili za kiarabu au kihindi waliopo nchini?! Si ndo ndoa zao za kuoana mabikra?! Hawa wetu ni magumegume tu.. yaan waafrika bana yaan kila kitu hovyo 😅😅🙌🏾
 
Mwanamume unatakiwa kuwa na Roho ya jiwe .Ni pm tumsolvie tatizo lake,mwanamke mwenyewe Ana jini mahaba na hapo ndipo matatizo ya jamaa yanaanzia,Kama akimfukuza huyo mwanamke mbo yake yananyooka
We kama una-promote biashara yako ya uganga usiende kuwatapeli hao mabwana ukamzidishia matatizo ndugu yetu Denis akajifia na sonona... 😂👍🏾
 
115e25c5da4f4104b1c3e0037b998999.jpg
 
Back
Top Bottom