Jinsi Baharia mmoja alivyojilipa Mafao yake ya NSSF

Jinsi Baharia mmoja alivyojilipa Mafao yake ya NSSF

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
Ndio usishangae jamaa alijilipa mafao.. !!

Kuna mwana alikua anafanya Kazi halmashauri fulani hivi mwaka 2016 alibahatika kupata scholarship kwenda ulaya kusoma masters.

Sasa ofisini (serikalini/halmashauri) walimbania ruhusa akaamua kuacha kazi ila kabla hajaacha alijiuliza na kufatilia mafao yake.

Shida yake ilikua ni kuondoka na pesa yake akale bata ulaya.

Jamaa huyu alivyoona tiketi ya ndege tayari anayo na hata iweje hawezi kupata hela zake kwa muda huo uliobaki na hata akiondoka hana mpango wa kurudi bongo, aliamua kufanya jambo gumu balaa.

Alimfata mdada mmoja hivi NSSF "Dada hivi ukiacha yotee, kama leo ningekua mnanipa Mafao yangu mngenipa kiasi gani?"

Dada akajibu "Mil 11..!!"

Jamaa akajibu "asante"

Kumbe mwamba alikua na mpango wake.

Jamaa aliingia benki akachukua mkopo na kusepa ulaya.

Huku nyuma ofisini aliacha barua ya kuacha Kazi masaa 24..!!

Na alituma barua kueleza kuwa Mafao yake wapewe benki.

Yaani mwamba baada ya kuona hapati hela zake NSSSF, aliamua kuingia benki, kuchukua form na kupeleka kwa utumishi na mengine yotee yakafata na pesa ya mkopo ikaingia.

Mwamba aliandika barua na kuacha mezani na kesho yake akapanda ndege ulayaaaa.

Masela Kufatilia vizuri ili wampongeze, kumbe mwamba huko ulaya alipata mpaka connections za dili.

Maana huku bongo alikua na kiwanja mjini alijenga msingi aliuza, alikua na kibanda cha biashara stendi akauza na gheto lotee kauza.

Aliuza mali zake zotee za TZ.

Mpaka Gheto aliuza, maana siku ile iliyofuata baada ya ile barua watumishi wenzake walimfatilia gheto wakakuta lipo empty.

Inaonyesha hata siku ile aliyosepa hakulala gheto..!!!

Mpaka navyoandika hapa yupo huko na kaunga PhD.

Ye anapost tu FB jinsi anavyokula bata na wadhungu..!!

JASHO LA MTU HALILIWI.

TAKE CARE.

#YNWA
 
Unataka kusema ana nchi nyingine zaidi ya hii?

Tuombe mpaka anarudi wawe wamesahau
Wapo kibao waliokopa na kukimbia serikali WAPO WENGIIIII.

Hata leo ukienda ofisini kumpelekea utumishi barua ya mkopo utasikia "Na wewe usikimbie kama wenzako..!!"

Yupo mmoja alikimbia kutoka mkoani yupo Dar kafungua duka.

#YNWA
 
Visa ya kusoma anataka na kuzamia?? Ni ngumu, muulize tena.

Pia kwa watumishi wanaoenda kusoma masters huko ,hawawezi kukubaliwa kuunganisha PhD bila muajiri wake kujua.

Kumbuka kuwa barua za udhamini na vigezo vyote muajiri ndio mtu wa kwanza.

Tuseme hiyo phD kajilipia, napo kuna ugumu kwa kuwa inabidi aongeze muda wa kukaa/kusoma huko, na hapo ni lazima muajiri ahusishwe.

Labda useme, kashirikiana na muajiri wake (kitu ambacho SIDHANI)
Mwisho wa uongo wako upo hapa
Huwezi wapelekea barua NSSF eti mafao yako wawape bank, Hapa UMEONGOPA.
Kinachotokeaga ni: bank wanaweza kukupa masharti/form/mkataba ujaze endapo utashindwa kulipa mkopo wao kwa sababu za kushindwa kuendelea na ajira yako, basi inakupasa pesa utayopata ya mafao NSSF wachukue wao.
Lakini sio wewe uwapelekee barua NSSF, kinachotokeaga ni kuna mambo mawili;
  • wakati wa kujaziwa taarifa zako za kuchukua hayo mafao na muajiri wako(HR), HR hataweza kukujazia mpaka umalizane na bank kwa kuwa bank ni lazima wawasiliane na HR kuhusu mkopo wako
  • NSSF wana utaratibu wa kuhakiki taarifa zako za kibank, na kuna form ya NSSF unaenda nayo bank ili wakujazie taarifa na kuthibitisha taarifa zako. Na hapo bank ni lazima watakubana
 
Kwa nijuavyo anayeenda nje ya nchi kusoma anapewa VISA ya mwanafunzi ambayo Ina expire right away after muda wa masomo kuisha.

Je huyo jamaa aliwezaje kubaki kwenye hiyo nchi baada ya masomo bila VISA halali?
Bro punguza ushamba...

Ina maana huna ndugu au rafiki aliyeenda kusoma ulaya na hajarudi hata baada ya scholarship kuisha?

Mi kwa niliosoma nao tu from msingi tu A'Level wapo wa5
Wa 3 Thailand na 2 Turkey.

Tokea wasepe kwenda kusoma bachelor HAWAJARUDI.

Tokea 2011 HAWAJARUDI.

#YNWA
 
Visa ya kusoma anataka na kuzamia?? Ni ngumu, muulize tena.
Pia kwa watumishi wanaoenda kusoma masters huko ,hawawezi kukubaliwa kuunganisha PhD bila muajiri wake kujua.
Kumbuka kuwa barua za udhamini na vigezo vyote muajiri ndio mtu wa kwanza.
Tuseme hiyo phD kajilipia, napo kuna ugumu kwa kuwa inabidi aongeze muda wa kukaa/kusoma huko, na hapo ni lazima muajiri ahusishwe.
Labda useme, kashirikiana na muajiri wake (kitu ambacho SIDHANI)
Mwisho wa uongo wako upo hapa
Huwezi wapelekea barua NSSF eti mafao yako wawape bank, Hapa UMEONGOPA.
Kinachotokeaga ni: bank wanaweza kukupa masharti/form/mkataba ujaze endapo utashindwa kulipa mkopo wao kwa sababu za kushindwa kuendelea na ajira yako, basi inakupasa pesa utayopata ya mafao NSSF wachukue wao.
Lakini sio wewe uwapelekee barua NSSF, kinachotokeaga ni kuna mambo mawili;
  • wakati wa kujaziwa taarifa zako za kuchukua hayo mafao na muajiri wako(HR), HR hataweza kukujazia mpaka umalizane na bank kwa kuwa bank ni lazima wawasiliane na HR kuhusu mkopo wako
  • NSSF wana utaratibu wa kuhakiki taarifa zako za kibank, na kuna form ya NSSF unaenda nayo bank ili wakujazie taarifa na kuthibitisha taarifa zako. Na hapo bank ni lazima watakubana
sijaelewa ap umebisha nn? ushawahi kuchukua mkopo kama mtumishi? mwajiri wako anakuepo kama ushaidi tu ila nssf yako ndio mdhamana wako wa kiasi utakachokopa incase umeacha kazi au umefukuzwa ile ndio inakua refunded
 
Huyo boya tu.

Kuna njemba alinunua Benz moja matata sana, Sasa akapata Safari ya ghafra kwenda nje.

Akawaza Ni wapi mahala salama pa kuacha Benz lake.

Baada ya kuwaza Sana akaamua kwenda benki akakopa laki tatu kwa makubaliano ya kurejesha kwa riba, halafu riba yenyewe Ni 3000 kwa wiki, dhamana ya mkopo akaweka Benz lake.

Unaambiwa jamaa akapeleka Benz lake benki halafu huyooo akasepa zake ulaya, baada ya wiki tatu akarudi bongo akaenda benki na ile hela yao laki tatu pamoja na riba 9000, akawakabidhi wakampa Benz lake pass na kujua wamemlindia Benz lake wiki tatu kwa shilingi 9000 tu(hata wamasai hawangekubali kulinda kwa Bei rahisi hivyo)
 
Hii bank wanakopaki magari kama dhamana tunaomba tuijue tutakope.

Huyo boya tu.

Kuna njemba alinunua Benz moja matata sana, Sasa akapata Safari ya ghafra kwenda nje.

Akawaza Ni wapi mahala salama pa kuacha Benz lake.

Baada ya kuwaza Sana akaamua kwenda benki akakopa laki tatu kwa makubaliano ya kurejesha kwa riba, halafu riba yenyewe Ni 3000 kwa wiki, dhamana ya mkopo akaweka Benz lake.

Unaambiwa jamaa akapeleka Benz lake benki halafu huyooo akasepa zake ulaya, baada ya wiki tatu akarudi bongo akaenda benki na ile hela yao laki tatu pamoja na riba 9000, akawakabidhi wakampa Benz lake pass na kujua wamemlindia Benz lake wiki tatu kwa shilingi 9000 tu(hata wamasai hawangekubali kulinda kwa Bei rahisi hivyo)
 
Mtoa UZI , huyo ndugu yako ana kula bata mzinga au bata paru paru..maana ulayaa yote ndugu imechafukaa lockdown kama UK ndio balaa yaan hata xmas yenyewe tia maji tia maji
 
Umeniwahi..kwa maelezo yake huyo Mtumishi alikuwa ngazi ya uofisa..ambao mfuko wao wa mafao ya jamii sio NSSF..hapo tu..ndio chai ilipoanzia kunywewa.
Inaonyesha wewe ni wale watumishi makada ambao akili zao huku halmashauri zimeganda kutwa kuisifia CCM...

Sikia basi..

Alikua tu ni afisa kilimo (AFO) (Sio DAICO nimekwambia AFO) katika halmashauri fulani..

Ofisi za mifugo na kilimo huwa wanapendekeza mtu/mtumishi mmoja abaki ofisi kama katibu wa ofisi.

Na mwamba aliajiriwa kama AFO II akaenda kusoma SUA (EXTENSION) akarudi na Bachelor of Extension.

Ila afisa utumishi aligoma kumfanyia categorization, aliendelea kuitumikia diploma yake akiwa na bachelor miaka kibaoo.

Kwahiyo mi huwa namsapoti kwa haya maamuzi kila siku.

Haiwezekani nisome SUA miaka mi3 halafu nirudi bomani, nikae miaka 5 afisa utumishi agome kuitambua bachelor yangu.

Hata Mimi navyoandika hapa Nina masters na huu ni mwaka wa 3 naona wapo kimya.

Mwakani (mwaka wa 4) nataka kufanya maamuzi magumu sanaaaaa yaaani saaana.

Ni kuchukua tu mkopo na kusepa.

Maana nilichukuaga kimkopo fulani afisa utumishi nilivyompelekea form alisisitiza "na wewe usikimbie tu" huku hajui akili yangu inavyowaza.

Kuna mwengine nae, kafanya kazi kaona take home ya TGS B hailipi, akatafuta mchongo private.

Akaomba ruhusa na akachukua mkopo.

Kwahiyo kwa miaka miwili aliyosoma Diploma alikua tu anakula mshahara wa bure, maana hakua Shule na mshahara ulikua unaingia.

DAICO kuona muda umefika wa kuisha kwa likizo na jamaa hatokei/harudi akapigwa stop pay.

Kumbe mwamba hakuwahi hata kufika chuo.

Na walichojitusi "hawakuwahi kuomba progressive report"

Wengi tu mbona huwa wanajilipa Mafao na kusepa.

Kama mifano hii hujaielewa basi subiri wangu.

#YNWA
 
Back
Top Bottom