Jinsi Baharia mmoja alivyojilipa Mafao yake ya NSSF

Jinsi Baharia mmoja alivyojilipa Mafao yake ya NSSF

sijaelewa ap umebisha nn? ushawahi kuchukua mkopo kama mtumishi? mwajiri wako anakuepo kama ushaidi tu ila nssf yako ndio mdhamana wako wa kiasi utakachokopa incase umeacha kazi au umefukuzwa ile ndio inakua refunded
Na ni watumishi wengi tu siku hizi huchukua mkopo na kutokomea hukooo.

#YNWA
 
Huy

Huyo boya tu.

Kuna njemba alinunua Benz moja matata sana, Sasa akapata Safari ya ghafra kwenda nje.

Akawaza Ni wapi mahala salama pa kuacha Benz lake.

Baada ya kuwaza Sana akaamua kwenda benki akakopa laki tatu kwa makubaliano ya kurejesha kwa riba, halafu riba yenyewe Ni 3000 kwa wiki, dhamana ya mkopo akaweka Benz lake.

Unaambiwa jamaa akapeleka Benz lake benki halafu huyooo akasepa zake ulaya, baada ya wiki tatu akarudi bongo akaenda benki na ile hela yao laki tatu pamoja na riba 9000, akawakabidhi wakampa Benz lake pass na kujua wamemlindia Benz lake wiki tatu kwa shilingi 9000 tu(hata wamasai hawangekubali kulinda kwa Bei rahisi hivyo)
Huyu mwamba.

#YNWA
 
Hizi case zipo nyingi tu. Mimi mwenye mwaka Jana ilibaki kidogo tu ila ipo siku nayo yaja sijakata tamaa.
Mi niko halmashauri fulani yaani Nina bachelor na masters ila bado nasotea diploma yangu.

Yaani soon nachukua milioni kadhaa benki na kusepa private.

Yaani soon.

#YNWA
 
Hadithi za wauza kahawa
Wapo kibao waliokopa na kukimbia serikali WAPO WENGIIIII.

Hata leo ukienda ofisini kumpelekea utumishi barua ya mkopo utasikia "Na wewe usikimbie kama wenzako..!!"

Yupo mmoja alikimbia kutoka mkoani yupo Dar kafungua duka.

#YNWA


Kama unafanya kazi halmashauri Jambo hili la watumishi kukopa na kuacha kazi LISINGEWEZA KUA GENI KWAKO.

#YNWA

Hizi case zipo nyingi tu. Mimi mwenye mwaka Jana ilibaki kidogo tu ila ipo siku nayo yaja sijakata tamaa.

Umeniwahi..kwa maelezo yake huyo Mtumishi alikuwa ngazi ya uofisa..ambao mfuko wao wa mafao ya jamii sio NSSF..hapo tu..ndio chai ilipoanzia kunywewa.

Chai tangawizi

Inaonyesha wewe ni wale watumishi makada ambao akili zao huku halmashauri zimeganda kutwa kuisifia CCM...

Sikia basi..

Alikua tu ni afisa kilimo (AFO) (Sio DAICO nimekwambia AFO) katika halmashauri fulani..

Ofisi za mifugo na kilimo huwa wanapendekeza mtu/mtumishi mmoja abaki ofisi kama katibu wa ofisi.

Na mwamba aliajiriwa kama AFO II akaenda kusoma SUA (EXTENSION) akarudi na Bachelor of Extension.

Ila afisa utumishi aligoma kumfanyia categorization, aliendelea kuitumikia diploma yake akiwa na bachelor miaka kibaoo.

Kwahiyo mi huwa namsapoti kwa haya maamuzi kila siku.

Haiwezekani nisome SUA miaka mi3 halafu nirudi bomani, nikae miaka 5 afisa utumishi agome kuitambua bachelor yangu.

Hata Mimi navyoandika hapa Nina masters na huu ni mwaka wa 3 naona wapo kimya.

Mwakani (mwaka wa 4) nataka kufanya maamuzi magumu sanaaaaa yaaani saaana.

Ni kuchukua tu mkopo na kusepa.

Maana nilichukuaga kimkopo fulani afisa utumishi nilivyompelekea form alisisitiza "na wewe usikimbie tu" huku hajui akili yangu inavyowaza.

Kuna mwengine nae, kafanya kazi kaona take home ya TGS B hailipi, akatafuta mchongo private.

Akaomba ruhusa na akachukua mkopo.

Kwahiyo kwa miaka miwili aliyosoma Diploma alikua tu anakula mshahara wa bure, maana hakua Shule na mshahara ulikua unaingia.

DAICO kuona muda umefika wa kuisha kwa likizo na jamaa hatokei/harudi akapigwa stop pay.

Kumbe mwamba hakuwahi hata kufika chuo.

Na walichojitusi "hawakuwahi kuomba progressive report"

Wengi tu mbona huwa wanajilipa Mafao na kusepa.

Kama mifano hii hujaielewa basi subiri wangu.

#YNWA

Na ni watumishi wengi tu siku hizi huchukua mkopo na kutokomea hukooo.

#YNWA

Mi niko halmashauri fulani yaani Nina bachelor na masters ila bado nasotea diploma yangu.

Yaani soon nachukua milioni kadhaa benki na kusepa private.

Yaani soon.

#YNWA
Kama hujaelewa post zotee hizi Basi chakukusaidia sina....

Chukua mkopo sepa KAFANYE MTAJI.

Wakija kushtuka wapige STOP PAY upo mbaliii....

Ikibuma biashara pia ni maisha.

Take risk.

#YNWA
 
Chai tangawizi
Sijajua mnachobisha hapa ni nini?
Mimi nafahamu case 5 tofauti za aina hii.
1. Jamaa alikuwa mwalimu wilaya moja Mbeya. Aliomba kusoma masters ya kitu kingine wakamgomea. Alienda kopa 9mill akapiga masters bila ruhusa. Sasa hivi yuko kwenye shirika moja la afya anakula dola 3500 per month.
2. Jamaa zangu wawili wa karibu maafisa Jwtz miaka ya 2000-2002 walienda kusoma nje mambo ya IT, na huku waliacha madeni ya benki hadi Leo hakuna aliyekanyaga bongo
 
Jamaa ametunga tu stori.
Jamaa nilipomuona ni muongo ni pale aliposema eti ilibaki siku moja ili asafiri kwenda nje halafu ndani ya siku moja akaprocess mkopo na kufanikiwa,hivi anajua process za kupata mkopo benki kweli au anafikiri mkopo wa benki ni kama tigo nivushe
Visa ya kusoma anataka na kuzamia?? Ni ngumu, muulize tena.
Pia kwa watumishi wanaoenda kusoma masters huko ,hawawezi kukubaliwa kuunganisha PhD bila muajiri wake kujua.
Kumbuka kuwa barua za udhamini na vigezo vyote muajiri ndio mtu wa kwanza.
Tuseme hiyo phD kajilipia, napo kuna ugumu kwa kuwa inabidi aongeze muda wa kukaa/kusoma huko, na hapo ni lazima muajiri ahusishwe.
Labda useme, kashirikiana na muajiri wake (kitu ambacho SIDHANI)
Mwisho wa uongo wako upo hapa
Huwezi wapelekea barua NSSF eti mafao yako wawape bank, Hapa UMEONGOPA.
Kinachotokeaga ni: bank wanaweza kukupa masharti/form/mkataba ujaze endapo utashindwa kulipa mkopo wao kwa sababu za kushindwa kuendelea na ajira yako, basi inakupasa pesa utayopata ya mafao NSSF wachukue wao.
Lakini sio wewe uwapelekee barua NSSF, kinachotokeaga ni kuna mambo mawili;
  • wakati wa kujaziwa taarifa zako za kuchukua hayo mafao na muajiri wako(HR), HR hataweza kukujazia mpaka umalizane na bank kwa kuwa bank ni lazima wawasiliane na HR kuhusu mkopo wako
  • NSSF wana utaratibu wa kuhakiki taarifa zako za kibank, na kuna form ya NSSF unaenda nayo bank ili wakujazie taarifa na kuthibitisha taarifa zako. Na hapo bank ni lazima watakubana
 
Jamaa ametunga tu stori.
Jamaa nilipomuona ni muongo ni pale aliposema eti ilibaki siku moja ili asafiri kwenda nje halafu ndani ya siku moja akaprocess mkopo na kufanikiwa,hivi anajua process za kupata mkopo benki kweli au anafikiri mkopo wa benki ni kama tigo nivushe
Bro punguza ushamba...

Sijasema kesho yake bro..
Hebu soma tena na ndege sio kama daladala kwamba unakata tiketi leo kesho safari.

Na unapopata scholarship means tayari unatiketi.

Unajibiwa leo, then unaanza kujipanga.

Unaweza ukajibiwa leo ila safari ikawa mwakani.

#YNWA
 
kwa hyo na ticket nayo huwa inatumwa mwaka mmoja kabla?hujui unachokiongea wewe inaonekana hata hujawahi kusafiri
Bro punguza ushamba...

Sijasema kesho yake bro..
Hebu soma tena na ndege sio kama daladala kwamba unakata tiketi leo kesho safari.

Na unapopata scholarship means tayari unatiketi.

Unajibiwa leo, then unaanza kujipanga.

Unaweza ukajibiwa leo ila safari ikawa mwakani.

#YNWA
 
Huyo boya tu.

Kuna njemba alinunua Benz moja matata sana, Sasa akapata Safari ya ghafra kwenda nje.

Akawaza Ni wapi mahala salama pa kuacha Benz lake.

Baada ya kuwaza Sana akaamua kwenda benki akakopa laki tatu kwa makubaliano ya kurejesha kwa riba, halafu riba yenyewe Ni 3000 kwa wiki, dhamana ya mkopo akaweka Benz lake.

Unaambiwa jamaa akapeleka Benz lake benki halafu huyooo akasepa zake ulaya, baada ya wiki tatu akarudi bongo akaenda benki na ile hela yao laki tatu pamoja na riba 9000, akawakabidhi wakampa Benz lake pass na kujua wamemlindia Benz lake wiki tatu kwa shilingi 9000 tu(hata wamasai hawangekubali kulinda kwa Bei rahisi hivyo)
Kubabake
 
kwa hyo na ticket nayo huwa inatumwa mwaka mmoja kabla?hujui unachokiongea wewe inaonekana hata hujawahi kusafiri
We mbu tulia...

Point ilikua ni ile "Kesho yake" nadhani sasa umeelewa na uwe unafatilia mambo.

Fatilia watumishi wa halmashauri wapo kibaoo hukopa na kusepa mazima.

Na sio halmashauri tu sehemu kibao serikalini.

Kama upo serikalini nakushauri kopa sepa, maana Mafao mpaka ifike miaka 60 na hakuna tajiri wa Kazi za kuajiriwa.

AMKA MBU.

#YNWA
 
Bro punguza ushamba...

Ina maana huna ndugu au rafiki aliyeenda kusoma ulaya na hajarudi hata baada ya scholarship kuisha?

Mi kwa niliosoma nao tu from msingi tu A'Level wapo wa5
Wa 3 Thailand na 2 Turkey.

Tokea wasepe kwenda kusoma bachelor HAWAJARUDI.

Tokea 2011 HAWAJARUDI.

#YNWA
Hata mimi kuna washikaji zangu wa A level watatu wote wako US, waliondoka kwa kwenda kupiga Masters, hadi leo hawajarudi wote wanafanya kazi huko huko na waliunga (they never came back to Tz)
 
Back
Top Bottom