Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Baadhi ya watu humu jf ni wajinga kama kitu ni chai achana nacho nenda kweye nyuzi ambao sio chai ila ujinga ni tatizo kubwa sana
 
Kwa experience yangu ndogo ya kufatilia story kwny JF story ikiwa nzurii kuna mamluki wanakuja na kuanza kupinga na kutoa maneno ya ovyoo.
Ila insider endelea kushusha nondo binadam ndo tulivyo walimpinga yesu kristo sembuse wewe
 
Ili kuzuia hii Hali ya matusi na comments ambazo zinaweza mkatisha tamaa muandishi nashauri developers wa jamiiforum waweze kuanzisha function ya kulock comments kama ilivyo kwenye Instagram na Twitter nawasilisha.
 
Mzee wangu una stress sio bure. Huenda sio maisha magumu ila njia ulizopitia ni ngumu.
Watu kama wewe huwa si wepesi kusaidia maana mliyopitia yanawafanya muwe na uchungu na mafanikio yenu (kama yapo).

Mkiona au kusikia mtu anapata kamseleleko basi humchukia huyo mtu kama unavyofanya hapa.
Mpaka unafikia hatua unamuattack jamaa kua ana laana.

Soma nyuzi zinazokufutahisha mkuu, hizi ambazo zinakufanya ujiskie vibaya achana nazo. Zinakuongezea makunyanzi usoni wakati bado kijana mdogo tu wa miaka 33.
 
Usingeendelea na hii story ningeshusha vyeo sana aisee.

Kijana ulie huru kifikra unakatishwaje tamaa na maneno ya mtandaoni.

Bila shaka wewe ni moja ya watu ambao hamjawahi kua bullied utotoni. Mkikutana na haya mambo mitandaoni ndio huwa baadhi yenu mnajinyonga kabisa.

Komaa kihisia kijana, kuna watu watatweza sana utu wako, ukiwapuuza watakosa pa kusimama ila wakiona unaumia mpaka kususa watashilikia hapohapo.
 
Hongera!! kamanda hata kwa hapa

Nitakutafuta kuna jambo unijuze vizuri
 
Mkuu tuhamie intelligence, uko na ugenius WA international💪

One love from MUST Mbeya.
 
Ndugu zangu nitakuwa nashusha Episode 3 kila week.

Ijumaa, Jumamosi & Jumapili

Tukutane ijumaa.

Hewala...

Ingependeza uweke na muda kabisa mkuu, kama ilivyo vipindi vya luninga au radio, kwamba 10 kamili sharp unajua kuna kipindi fulani...

Yaani kama ulivyo smart kwenye muda katika visa unavyosimulia, mathalani muda wa kumchukua Iryn, Mama 2 n.k...
 
Hi ndio kiini ya story nilkuwa natafuta mim Kwamba " biashara ya Uber imekunufahisha na Hadi "

Moral of the story Ni Kwamba madereva wa tax mtandao muwe wasafi na kuwa na nidhamu na kazi
Blaha bhlaa zinginee za kumla iryn,marry ,prisca mama wawili hazina maana ,Ni vyema umehitismisha sehemu nzuri


Kila la kher mkuu Ila ukija dodoma tukutane makulu

Nikutakie kila la kheri
 
Mzee umemla mtoto wa watu umekesha naye na umeshinda naye siku nzima na bado ukampa Afu 10. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We jamaa ni bahili sana, nashangaa mpaka sasa dada zetu JF hawajasema neno
Ila kweli daaaah....
Mwamba hapa kazingua sana
 
kwan akidangqnya ww unapungukiwa nn kw mfano,,, au unahis akisimlia hiv ndo na ss tutakuwa uber?... ss tunanogewa na utunz wake na story ilivyo haijalish ni kwel au uongo? insue ya wwnkuruka na madem wa kizungu sijuw dubai haitusaidiii na wal sio sifa mkuu kwan ukiruka na mmarekan na m nikaruka na mnyakyusa utofaut ni nn ote tutafinyiwa kwa ndan na kumwak ule uji mzto,,, unafeil wap ndg angu eee jinga kwel...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…