Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu jimmy tuliza mzuka.Kwa hiyo aache kazi zake aandike stori humu ili kukuridhisha wewe usiwe na kazi. Pumbavu kabisa wewe.
Afafanue hili..24m ilipatikanaje tu all over sudden??Hio mili 24 ulivoisave kimiujiza, kweli hii story
Kumbuka kunitag mkuuNina story yangu bado sijaimaliza, nasubiria niimalize kabisa nikiiweka humu. Naepuka kuandika vipande vipande huku story inasomwa. Ni usumbufu kwangu lakini hasa kwa wasomaji.
kabisa, mkaka ndo anataka kuliwaHii sio kimasihara ni kimakusudi [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Umenikumbusha enzi za @lala1 sijui kaenda wapi uyo dadaKipindi hiko kulikuwa na msimuliaji mmoja tu anaitwa anaitwa kitu kama lala 1 huyu dada alikuwa anapata followers wa kutosha japo ilikuwa ni fake story.
Tuachane na hayo wandugu,nia yangu ya dhati ni kuwa kumbusha ndugu katika kunikumbusha mana huku kuingia sio sana siku hizi.
Analyse
Extrovert
DeepPond hii kazi itakufaa sana.
& Half american
old is gold aloooh mda sanaUmenikumbusha enzi za @lala1 sijui kaenda wapi uyo dada
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kwa hiyo aache kazi zake aandike stori humu ili kukuridhisha wewe usiwe na kazi. Pumbavu kabisa wewe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Nimenawiri halafu nipo na wazungu"