Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu


Lakini wew jamaa si unakumbuka ulituambia ulishaacha kazi ya uber sahivi unafanya mbishe zingine kabisa, iweje tena bado unabeba abiria wa uber..?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] team negatives (hate) wakiendelea baada ya hii comment basi watakuwa beyond repair

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Antonia njoo
 
Unalinga sana story yako. Si uweke hata episod zote imekuwa kama matamthilia ya kwenye tv
 
Duh, kama na wewe ume scroll kuja ku reply hapa chini like twende sawa. Mtu anaandika thread title halafu anaanza na stori tofauti kabisa dah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…