Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Irene ana stress nyingi. Alitaka ummege hukufanya hivyo. Alitaka umle mkiwa jikoni,seblen,chumbn nk. Yaani imeniuma umemkosa Irene!?🐗

Alivyokuita upange vitu kabatini ulikuwa mtego. Hivi alishindwa kuvipanga yeye??!!! Dah??!!$

Mzee unasaka pesa za nini ikiwa unaacha Dem anagundua unapopumulia. Kiukweli Irene amechykia Santa, anahisi wewe sinmuaminifu kwake.

Nakishairi.
1. Usimtafute Tena. Si Kwa sms,Wala call.

2. Mrejeshee simu yake.

3. Mdanganye unaacha KAZI ya Uber. Akitokea kukucheki.

4. Akitokea kukutafuta fanya kama unavyomjibugi Mary. Mweleze mkatana umeshavunjika Kwa kasiriko lake. So kama ndoa isha
 

INSIDER MAN: ni bwege, demu anakuita chumbani upange vyombo na wewe kwa ujinga wako unaenda kupanga vyombo? Hujui anataka game?
 
Iryn kayeyuka
Insider alizembea sana kula mbususu ilitakiwa siku alipomuita chumbani amalize shughuli lakini jamaa akakusha maana Lryn alimpenda sana.Shida nyingine ni pale mtoto alipogundua jamaa ameoa na ana mtoto hapo ndiyo Lryn alipokauka kabisa.Pole yako mkuu sasa lalia kwenye deal ya Msomali ingawa ni dangerouse deal.
 
Jamaa alikua akimheshimu tu japo ukijifanya una heshima unaonekana mshamba sana.
Demu kapatwa wivu qumamaque.
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama wa kichaga anakunywa savannah kuongeza nini??
 
Mkuu unajua brain ya ke.naomba tuongee pm please naweza nikaongexa madini from kwwko
 
Hii ni story ilishatokea sio kwamba inaendelea sasa kila tukio hata akishauriwa haitasaidia kitu vinginevyo atageuka kuwa Lamata Lea. Hivyo tusubiri msimuliaji waliishia wapi.
 

[emoji12] utasababisha madereva wa Uber waongezeke km kuna pisi za kula bure kwenye gari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…